yani tuwahi kabla barabara haijapanuliwa, are you out of your mind?... wahi mapema kabla havijaisha au barabara ya kwenda Bagamoyo haijapanuliwa.
Nafikiri anamaanisha barabara ikijengwa vitapanda bei maradufu! So its better kuwahi kable ya barabara haijakamilika wabongo wengi watavimind na hivyo bei kupaa mbinguni ghaflaSasa Barabara ikijengwa ndio tupitiwe au sijaelewa hapo