Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbezi Makabe na Msumi, Manispaa ya Ubungo, Dar es Salaam

Nestory Westone

Senior Member
Joined
May 13, 2015
Posts
154
Reaction score
116
Kwa wanaohitaji viwanja ndani ya Dar es Salaam karibu Mbezi Makabe na Msumi.

1.Mbezi Msumi eneo limekatwa viwanja kadhaa kwa ukubwa tofauti kama ifuatavyo:
Mita 16*16 bei ni Tsh5,500,000/=
Mita 20*20 bei ni Tsh8,500,000/=

2.Mbezi Makabe eneo limekatwa kwa vipimo tofauti kama ifuatavyo:
Mita 25*25 bei ni Tsh15,000,000/=
Mita 30*30 bei ni Tsh25,000,000/=

Viwanja vyote vipo karibu na barabara kuu.
Mtu akishuka kwenye daladala anatembea kwa mguu haina ulazima wa usafiri.
Huduma mhimu zipo.

Mawasiliano ni kwa kunipigia au WhatsApp namba hii:
+255753786858
Ikitokea sijapokea tuma ujumbe wa maandishi.
Maeneo yangu ya kazi ni Ubungo(tunaweza kuonana kwa urahisi siku za kazi) Jumamosi na Jumapili muda mwingi napatikana Mbezi Louis.
Karibuni.


 
1.Sio lazima kununua kiwanja kidogo kwasababu vikubwa vipo.
2.Unaweza kuunganisha zaidi ya kimoja ukapata kiwanja kikubwa.
3.Sio watu wote wana pesa za kununua kiwanja kikubwa.
4.Mahali vilipo viwanja vidogo pametengwa kwahio ukinunua vikubwa hakuna uhusiano na vidogo.
5.Mawazo yako ni ya kibinafsi/unaangalia uwezo wako tu.
16x16 mnatengeneza uswahili
Mtu hawezi kupanda hata mti.!
 
Hapana siyo kujiangalia mwenyewe tu sema wenye viwanja wamejiangalia kupata faida kubwa kwa kuziminya hizo 4x4=16 wakifanya hivyo kwa viwanja 20 au 50 sibwatakuwa wametengeneza viwanja vingi zaidi pia bei yenyewe ni Kubwa sana ambayo ilikiwa inastahili kupata 20/20 hata zaidi kutokana na location ya Eneo, Sasa ubinafisi wangu hapo nini kati yangu na unayesema ukitaka eneo kubwa uongeze kiwanja ukiweka viwanja viwili si utakuwa umemuumiza zaidi huyo unayetaka kumsaidia.!
 
Bora nikuache tu naona napoteza muda wangu kwa mtu ambaye huwezi kuelewa, kazi yako ni kulaumu watu wengine.
 
Hivyo vya 16x16 bado vipo?
 
Wateja karibuni kwenye biashara, kesho hadi Jumatatu muda upo wa kutosha.
 
Bado vipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…