Plot4Sale Viwanja Viwanja Viwanja

dalali msomi

Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
6
Reaction score
1
Nina Viwanja vilivopimwa na venye hati maeneo ya Kibaha Bagamoyo na Kigamboni kama unahitaji nicheki 0718161656 au nifollow kwenye mitandao ya kijamii @dalalimsomi [emoji65]
 
Sheria ya kuzuia madalali holela bado haijapitishwa tu....
 
Nina Viwanja vilivopimwa na venye hati maeneo ya Kibaha Bagamoyo na Kigamboni kama unahitaji nicheki 0718161656 au nifollow kwenye mitandao ya kijamii @dalalimsomi [emoji65]
Tuwekee bei kwa sq. metre( meter)
 
Nahitaji kigamboni ila tuuziane bei ya maisha ya sasa,sio unakurupuka kutaja pesa nyingi tu
 
Nahitaji kibaha je eneo lako ni kibaha ipi? Ni PM
 
M18 usawa huu duh wacha Lukuvi aingilie kati
 
NJOO NIKUPE HEKA 4 IKIWA NA NYUMBA ILIYOPAULIWA NUSU ina chumba cha kulala,sebule,jiko,choo ni center na barabarani panaitwa musese mpakan mwa kibaha na kisarawe unapta moro road unaingilia kongowe bei mil.15, AU KAMATA KIWANJA HAPOHAPO UREFU 70M UPANA JUU 28M CHINI 16M BEI MIL.1.6 NI ENEO LANGU SI DALALI NICHEKI 0624078252 AU 0764726071
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…