Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado haujauza tu mkuu?Pia Kuna nyumba ya ghorofa tatu sehemu inauzwa mil 7
Aahha hahaha
Bahati nzr nafahamika sana hapa jf...ukitapeliwa tena nianzishie uzi..toka jamaa yangu apigwe 5m yake kiwanja kigamboni yani dah nikija kununua kiwanja sehemu hiyo lazma niende ardhi direct
Buyuni kutoka feri ni 30+kmsNi umbali gani kutoka feri mkuu?
45kmNi umbali gani kutoka feri mkuu?
Thanks mkuuBuyuni kutoka feri ni 30+kms
Duuh,hukawii kukuta kibao cha unaingia Rufiji45km
yaan apigwe hela alafu solution ni kukufungulia uzi?Bahati nzr nafahamika sana hapa jf...ukitapeliwa tena nianzishie uzi..
Wew piga simu tu 0620406081 ...ukiona miyeyusho ndo ukate tamaa..
Usikate tamaa haraka hivyo..