Viwanja vya CCM vinapaswa kutaifishwa kuwa viwanja vya Taifa/Mkoa

Viwanja vya CCM vinapaswa kutaifishwa kuwa viwanja vya Taifa/Mkoa

P J O

Senior Member
Joined
May 3, 2024
Posts
189
Reaction score
264
Viwanja mbalimbali kwenye mikoa Tanzania na maeneo ya muhimu yanamilikiwa na CCM kitu ambacho kinatilia mashaka Kwa utawala wa nyuma ambapo Nchi ilikua hauwezi hata kujenga viwanja vya mpira CCM walitoa wapi pesa kujenga viwanja hivi?

Viwanja hivi vinaifanya serikali kutokuwajibika kuwapa watanzania miundombinu hii ya muhimu Kwa sababu tayari Kuna viwanja vya chama. Na hivi viwanja vina miaka mingi sana

CCM Kirumba
CCM Uwanja wa Dodoma

Taja Uwanja mwingine
 
Hilo zoezi litafanyika endapo ccm haitakuwepo madarakani kama KANU. Hata kama itakuwa chama cha upinzani still vitaendelea kuwa ni mali zake japo vilipatikana kukiwa na chama kimoja
 
Naunga mkono hoja. ccm ikubali tu haijawahi kujenga hata kiwanja kimoja cha michezo kwenye hii nchi!
 
Back
Top Bottom