mmewadadako
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 534
- 844
Ishirini kwa Ishirini kwa milioni Ishirini........'Mbombo ngafu' alisikika bwana mmoja kutoka Tukuyu.
mkuu hii ndio ni mbezi mwisho na hizo ndio bei zake ..viwanja vya milioni 8 vinapatikana mpiji magoe au kwa msakuzi hukoHiii inaitwa Fursa nifurusue yani 20 x 20 = 20M shubhaaaamiiit,mbezi pamekua hot cake eeeh
Ushauri: msiwe mnapima viwanja square. Hapo ilibidi iwe 25x16
mkuu kwani we unajua wanauzaje plot mbezi mwisho ...hebu tusaidie ?Acha basi kuchekesha walionuna....... Hata kama ni njaa yako imezidi mama, plot Square meter 400 kwa milioni 20,ya zimbabwe ama? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawajajui nyakati zilizopoIshirini kwa Ishirini kwa milioni Ishirini........'Mbombo ngafu' alisikika bwana mmoja kutoka Tukuyu.
Hawatakuelewa, kiwanja kidogo kikiwa cha square ujenzi wake ni wa taabu, ardhi itabaki useless, lakini hii 25x16 utapata parking ya kutosha na nyuma ya nyumba piaUshauri: msiwe mnapima viwanja square. Hapo ilibidi iwe 25x16
Hii ni awamu ya 5 kipindi cha pili, kina mshindo wakebei ni reasonable kabisa ...bei elekezi ya serikali hapo chini wakuu ya mwaka 2018 ..mbezi luis kwa kiwanja cha makazi ni kati ya 50000 -80000View attachment 1636893
Umbali gani kutoka barabara ya lami?Kiwanja kinauzwa
Kipo kongowe lamlam Dar es salaam
Size ya eneo ni futi 35 kwa 60
Kimepimwa na hati zipo.
Huduma zote za kijamii zipo
Bei ni Tshs 6.5 milion
Tuwasiliane; 0744033555
atawakamata wasukuma waliotoka kanda ya ziwa kuuza ng'ombe zao wakija mjiniIshirini kwa Ishirini kwa milioni Ishirini........'Mbombo ngafu' alisikika bwana mmoja kutoka Tukuyu.
kawauzie serikali bossbei ni reasonable kabisa ...bei elekezi ya serikali hapo chini wakuu ya mwaka 2018 ..mbezi luis kwa kiwanja cha makazi ni kati ya 50000 -80000View attachment 1636893