Hivi mbona serikali haichukui hatua kudhibiti hawa viwavi jeshi wanaoshambulia mazao ya wakulima? Chondechonde hali mbaya huku Itete wilayani Malinyi, mkoa wa Morogoro.
Hivi mbona serikali haichukui hatua kudhibiti hawa viwavi jeshi wanaoshambulia mazao ya wakulima? Chondechonde hali mbaya huku Itete wilayani Malinyi, mkoa wa Morogoro.
Serikali inahusika vipi na viwavi jeshi, yaani badala ya wewe kuchukua hatua unamwambia serikali..mwambie mwenyekiti wako wa mtaa na mtandaji wakakupigie sumu..