Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bulgaria wataalam wa wizi wa Kura. Wamemsaidia Sana RutoWakuu Chama kimeniteua kwenda kusomea mishe za mambo ya Kura naenda kusomea Sofia University vast. Klimenti Ohridiski, Bulgaria Sasa Hawa jamaa Wana ubalozi hapa nchini? Kozi inaanza Agosti. Msaada tafadhali
Kwahiyo hicho chama chako kimekuteua bila kujua pa kupata visa au chuo kimekupa admission halafu hakijui utapataje visa pumbafu wwWakuu Chama kimeniteua kwenda kusomea mishe za mambo ya Kura naenda kusomea Sofia University vast. Klimenti Ohridiski, Bulgaria Sasa Hawa jamaa Wana ubalozi hapa nchini? Kozi inaanza Agosti. Msaada tafadhali
Dada! Sio wajibu wa Chama kukujulisha ubalozi ulipo. Wao wetoa ufadhili wa Ada, nauli na posho ya kujikimu tuKwahiyo hicho chama chako kimekuteua bila kujua pa kupata visa au chuo kimekupa admission halafu hakijui utapataje visa pumbafu ww
Stroke kaacha ualimu now ameteuliwa na chama anachomtukana mwenyekiti wake? (Samia)?Wakuu Chama kimeniteua kwenda kusomea mishe za mambo ya Kura naenda kusomea Sofia University vast. Klimenti Ohridiski, Bulgaria Sasa Hawa jamaa Wana ubalozi hapa nchini? Kozi inaanza Agosti. Msaada tafadhali
Kwa nchi za afrika mashariki na kati wanahudumiwa na diplomatic mission iliyopo Addis Ababa Ethiopia. So asome visa requirements then atume passport na documents huko ethiopia.Nenda Ubalozini - Hatfield, Pretoria
Jaribu Kenya mkuu, Bulgaria ni nchini iliyokuwa yaki jamaa.Dada! Sio wajibu wa Chama kukujulisha ubalozi ulipo. Wao wetoa ufadhili wa Ada, nauli na posho ya kujikimu tu
Wakuu Chama kimeniteua kwenda kusomea mishe za mambo ya Kura naenda kusomea Sofia University vast. Klimenti Ohridiski, Bulgaria Sasa Hawa jamaa Wana ubalozi hapa nchini? Kozi inaanza Agosti. Msaada tafadhali
Kuwa na shukrani we stroke.Wakuu nimetuma documents zote ubalozi wa Bulgaria hapo Addis Ababa nasiilizia. Asanteni Kwa muongozo
Samehe ndugu. Kuna watu humu wanatafuta ubaya tuMkuu mbona nimeshukuru au Una lingine?
Nna lingine ndiyo.Mkuu mbona nimeshukuru au Una lingine?