Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Ndugu zangu inaweza kuwa hili limeisha letwa hapa jamvini ila si vibaya kujikumbusha.
Nimejaribu kuvuta kumbukumbu ya soka kuna vizazi vitabaki penye historia nitaanza na brazil ya mwaka 70 hii iliwajumuisha garrincha,Pele,vava,didi tostao revelino na wengine hiki kikosi Italy alikula bao 4-1 watu wengi husema hakuna kikosi bora kwa brazil kama hicho.
Kingine kwa ngazi ya vilabu naanza na man united ya miaka ya 60 hapo unakutana na George Best Denis law na mtu mzima Charlton huo ulijulikana kama utatu mtakatifu na walitwaa kombe la ulaya na kuja kufuatiwa na watoto wao hii ni miaka ya kuanzia 94 hapo ujio wa Beckham,nick butt,Neville brothers,giggs na Scholes khabari zao zinajulikana.
Ukija Arsenal hiyo ya ukuta wa chuma wakongwe watupu seamen, Lee dickson,winterburn na baba mwenye nyumba Adams hapo ilikuwa kazi kweli..
Wadau tunaweza kuungana kwani kila mtu ana kizazi chake.
Nimejaribu kuvuta kumbukumbu ya soka kuna vizazi vitabaki penye historia nitaanza na brazil ya mwaka 70 hii iliwajumuisha garrincha,Pele,vava,didi tostao revelino na wengine hiki kikosi Italy alikula bao 4-1 watu wengi husema hakuna kikosi bora kwa brazil kama hicho.
Kingine kwa ngazi ya vilabu naanza na man united ya miaka ya 60 hapo unakutana na George Best Denis law na mtu mzima Charlton huo ulijulikana kama utatu mtakatifu na walitwaa kombe la ulaya na kuja kufuatiwa na watoto wao hii ni miaka ya kuanzia 94 hapo ujio wa Beckham,nick butt,Neville brothers,giggs na Scholes khabari zao zinajulikana.
Ukija Arsenal hiyo ya ukuta wa chuma wakongwe watupu seamen, Lee dickson,winterburn na baba mwenye nyumba Adams hapo ilikuwa kazi kweli..
Wadau tunaweza kuungana kwani kila mtu ana kizazi chake.