sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Wenzetu Ufaransa wanaanza rasmi kuwabana wananchi wale ambao wamekataa kuchanjwa chanjo za Uviko19.
Restriction hizo ni pamoja na kuzuiwa kuingia kula kwenye migahawa, kupanda usafiri wa kwenda na kurudi kazini, kuingia kwenye ofisi yoyote kupata huduma ikiwa ni pamoja na benk, hospitali nk.
Usifikiri kwamba kuna mama ntilie kule kwamba wakikuzuia huku utaenda huku kule hata magenge ya mtaani kununua chakula na bidhaa nyingine hakuna. Bila nyingi za middle class zilikufa kutokana na Lockdowns, zimebaki biashara za wale ambao wameamua kumtumikia Mungu wao ambaye anaewawezesha na kuwapa mali, Mungu ambaye Freemasons, Vatican, Jesuits, Opus Dei, Knight of Malta, Member wa Round Table, The Bildersberg, Bankers, BigPharma members, Skull and Bones na wengineo wengi ambao kila mwaka hukutana kule Bohemia Gloves kumubudu Mungu huyo na kumtolea sadaka ya damu za binadamu.
Migahawa mingi kama ya Mc Donalds ni ya members hao na viwanda vingi ni vya hawa members.
Nimeona taarifa ya wizara ya afya kuwezesha electronic card ambayo itawezesha kiwatambua wote wanaopokea chanjo ya Uviko19 ili wale wanaojifanya wajanja kutaka kuhonga pesa kwa wahudumu kama yule Afisa elimu wa wapi sijui kajifanya kwenda kupiga chanjo kumbe amefake na kwenda kuchukua cheti. Card hizo zinaitwa electronic passport ambayo itatambua kama unayo chanjo mwilini au la.
Hawa wote wananchi ambao wanajipeleka kupata chanjo watakuwa ni maadui wa wale wasio pata chanjo, na tutaanza kuumizana sisi kwa sisi, umati mkubwa walioipata chanjo dhidi ya wale msio na chanjo, ikiwa ndio hivyo wenye chanjo watashinda, maana yake msio na chanjo kwanza ili upate huduma za maisha nyingine lazima upate chanjo ambayo kwanza utaigharamia, unanunua kitu ambacho kinakwenda kukuharibu wewe mwenyewe, unachimba shimo lako mwenyewe reeefu then unajitumbukiza ukaumie mwenyewe.
Hii sio vita between Uviko19 na binadamu, bali ni secret agenda(microchipping with artificial intelligent microchip)
Uhuru wa binadamu unakwenda kupotea completely and permanently, microchipping inayotumia nano technology, wengi hawajui hizi nano teknology ni ndogo kuliko cell yako mwilini.
Ni kama uli compare Cell yako kama uku wa wake ni mpira wa mchezo wa basket basi Hiyo chip ni kama mpira wa baseball
Ukipewa microchip na mitambo ikawashwa maana yake utakuwa unaongozwa na computer codes ambapo headquater yake ipo kule SiliconValley California, au somewhere else in the world.
Maana yake hutakuwa na uwezo wa kuwaza unavotaka wewe, utafikiri ukiwaza kuwa hilo wazo ni lako kumbe ni la computer inayooperate within.
Na wanaoogoza hizo codes tuombee wawe wanatupenda, ambapo siamini kama Mungu wanayemuabudu anatupenda binadamu. Maana kila siku Mungu wao mpenda kafara anaanzisha vita duniani, na kuleta matatizo ya kiuchumi duniani ambapo binadamu wana starve na kufa kutokana na ugumu wa maisha kwenye uchumi walioujenga ambao unatumia Pesa from Banking system Cabal kote duniani. Mungu wao anawafundisha wanaomtumikia kuharibu nchi ili isitoe chakula bora kwa kuweka sumu kama mbolea ya chumvi yenye kuharibu root system, kubadilisha mbegu, kutumia herbicide na pesticide kwenye vyakula vyetu, kutumia sumu za kuua magugu kama roundup, ku treat maji ya kunywa kwa sumu kama Chlorine, sumu kama Fluoride zenye kuharibu meno zinawekwa kwenye dawa za meno then meno yakitoboka unaenda hospitali kulipa pesa kuziba meno kwa kuwekewa dawa yenye viambata vya sumu kama Mercury, pia viwanda vya ma Illuminati wenye kumuabudu Mungu wao vinatengeneza maji ya kunywa yenye kuwekewa Fluoride na pia kama Azam ameshusha bei ya maji ya kunywa hadi sh 500 kwa lita 1na nusu ili watu wanywe sana.
FLUORIDE ni sumu inayoharibu jicho la sita la ufahamu ( pineal gland) ambayo huwafanya binadamu wawe rahisi kuwa manipulate. HITLER aliwawekea wayahudi kwenye maji na ikawa rahisi kuwatawala. Na ufahamu huu umeharibiwa kwa wengi na majitu hayana ufahamu yaamini kinachosemwa na Television kuhusu Covid19 na sasa yanajipeleka yenyewe kuchanjwa.
Hawa Illuminati wenye kumuabudu Mungu wao wana Fund elimu zenye kuharibu watu kupitia science maana Science imekuwa ndo kama Mungu inaaminka sana, wameleta takataka nyingine kwenye unga tunaotumia kila siku kwa ugali na ngano wanaweka unga wenye viambata vyenye sumu wao wanaita Lishe na wanafanya kitu inaitwa Fortification, na angalia mifuko yote inayobeba unga kutoka viwandani imepigwa muhuri wa "Fotified" kuonyesha kuwa unga huo umewekewa hivyo viambata. Na wasagaji wa unga huo wa mtaani wanalazimishwa kufunga mashine za kufanya fortification na kama hujafunga mashine hito unapigwa faini kati ya mln 2au Mln 3. Na wanatoa mashine hizo bure na unga huo unapewa bure pia, hakuna anayeuliza Why? Kwa vile pineal gland imeharibiwa, na ufahamu umepotea, umebaki ufahamu wa kula, kunywa, kungonoka, kuangalia tamthilia na mipira na kunya.
Hatari inakuja ambapo umoja wetu sisi binadamu against huyo Mungu wao unahitajika sana. Sisi binadamu ni wengi kupambana na hawa Illuminati ndo maana wanafanya kwa kificho kutuharibu akili zetu ili wachukue uhuru wetu kikamilifu, binadamu hawana habari wanakimbilia kupigwa chanjo ili waweze kusafiri na kwenda Ulaya na kwingineko, ambapo pamoja na kupigwa chanjo mbali mbali ili upate permit ya kusafiri na kupanda ndege lazima upite kwenye lichumba lenye urefu wa Foot 21 na kuchomwa mionzi ( radiation) kwa kile kinachoitwa kukagua kama umevaa bomu au silaha au mlipuko wowote usije kulipua ndege, uchomaji huu ulianza kwa kupitisha zile sheria za kigaidi wakati magaidi wakuu ni hawa hawa na Mungu wao mpenda kafara za binadamu, hawa hawa ndo walilipua majengo ya WTC kule NewYork 9/11 na kwenda kujifanya kuanzisha vita Irac na Afghanistan kumtafuta Osama ambaye walim train wenye na CIA yao kupambana na USSR.
Hawa hawa ndo wanagharamia vita zote duniani na makundi ya magaidi kama Alqaida, BokoHaram, Alshabab, Isis , Kule Congo, na sehemu mbali mbali duniani.
Mionzi hiyo i awachoma abiria wa ndege na bila shaka wanaosafiri sana lazima mionzi hiyo itawapa maradhi ya kutosha kama Brain cancer nk.
Hawa hawa ndio wameruhusu teknologia za kutumia Fossil fuel yaani Dieselna Petrol kuingia kwenye mzunguko na kuchafua hewa safi , mijini au unapotembea barabani muda wote unakutana na kuvuta hewa yenye sumu, Carbonmonoxide hewa yenye sumu wakati teknology safi na salama kama ya umeme ipo na inakuwa suppressed na wao wenyewe na Mungu anayewaongoza.
Wameleta dini zote duniani kama Uislamu, Ukristo, Uyahudi, Uhindu na Ubudha na makundi yao ili kutu divide binadamu na kUtutawala (Divide and Rule) na makundi hayo tunabaki binadamu na ujinga wetu kupigana ipi ni imani sahihi na tunaishia kupigana na kila mtu kuona dini yake ni nzuri, salama na inatufikisha kwenye mbingu, dini zote zimenzia katika utawala wa Sumer Ambapo badae ikaja Babeli, Uajemi, Wagiriki na Roman ambapo ni hao hao ambao wakati fulani hupigana wao kwa wao kuhakikisha Mungu wao agenda yake inatimia, yaani kama walivopiganisha vita zote za dunia.
Bahati mbaya ujinga wa binadamu kwenda kuwafanyia kazi, wanatupa makaratasi yanayoitwa pesa badala ya dhahabu kuzalisha vitu ambavyo vinatudhuru wenyewe. Mfano vijana wanaenda kujiunga kwenye majeshi ili mkaue binadamu mwenzako ambae hujawahi kumuona, kugombana naye, ana wazazi wake, ana watoto na familia inayomtegemea na wakirudi vitani wananchi mbaenda kuwapokea Airport na kuwaita mashujaa, wanaokufa mnawaita mashujaa, majeneza yao yanafunikwa kwa bendera ya nchi na kuwaandika kwenye minara ya kumbukumbu, inasaidia nini hii?
Walioanzisha vita wapo wanakula bata ofisini tayari kutangaza ajira nyingine mkawatumikie. This is manipulation.
Na sasa majinga yatakuja kupinga kila kitu hata kama ukweli ni dhahiri.
Tuamke toka usingizini, jamaa wanakwenda kutumaliza
Restriction hizo ni pamoja na kuzuiwa kuingia kula kwenye migahawa, kupanda usafiri wa kwenda na kurudi kazini, kuingia kwenye ofisi yoyote kupata huduma ikiwa ni pamoja na benk, hospitali nk.
Usifikiri kwamba kuna mama ntilie kule kwamba wakikuzuia huku utaenda huku kule hata magenge ya mtaani kununua chakula na bidhaa nyingine hakuna. Bila nyingi za middle class zilikufa kutokana na Lockdowns, zimebaki biashara za wale ambao wameamua kumtumikia Mungu wao ambaye anaewawezesha na kuwapa mali, Mungu ambaye Freemasons, Vatican, Jesuits, Opus Dei, Knight of Malta, Member wa Round Table, The Bildersberg, Bankers, BigPharma members, Skull and Bones na wengineo wengi ambao kila mwaka hukutana kule Bohemia Gloves kumubudu Mungu huyo na kumtolea sadaka ya damu za binadamu.
Migahawa mingi kama ya Mc Donalds ni ya members hao na viwanda vingi ni vya hawa members.
Nimeona taarifa ya wizara ya afya kuwezesha electronic card ambayo itawezesha kiwatambua wote wanaopokea chanjo ya Uviko19 ili wale wanaojifanya wajanja kutaka kuhonga pesa kwa wahudumu kama yule Afisa elimu wa wapi sijui kajifanya kwenda kupiga chanjo kumbe amefake na kwenda kuchukua cheti. Card hizo zinaitwa electronic passport ambayo itatambua kama unayo chanjo mwilini au la.
Hawa wote wananchi ambao wanajipeleka kupata chanjo watakuwa ni maadui wa wale wasio pata chanjo, na tutaanza kuumizana sisi kwa sisi, umati mkubwa walioipata chanjo dhidi ya wale msio na chanjo, ikiwa ndio hivyo wenye chanjo watashinda, maana yake msio na chanjo kwanza ili upate huduma za maisha nyingine lazima upate chanjo ambayo kwanza utaigharamia, unanunua kitu ambacho kinakwenda kukuharibu wewe mwenyewe, unachimba shimo lako mwenyewe reeefu then unajitumbukiza ukaumie mwenyewe.
Hii sio vita between Uviko19 na binadamu, bali ni secret agenda(microchipping with artificial intelligent microchip)
Uhuru wa binadamu unakwenda kupotea completely and permanently, microchipping inayotumia nano technology, wengi hawajui hizi nano teknology ni ndogo kuliko cell yako mwilini.
Ni kama uli compare Cell yako kama uku wa wake ni mpira wa mchezo wa basket basi Hiyo chip ni kama mpira wa baseball
Ukipewa microchip na mitambo ikawashwa maana yake utakuwa unaongozwa na computer codes ambapo headquater yake ipo kule SiliconValley California, au somewhere else in the world.
Maana yake hutakuwa na uwezo wa kuwaza unavotaka wewe, utafikiri ukiwaza kuwa hilo wazo ni lako kumbe ni la computer inayooperate within.
Na wanaoogoza hizo codes tuombee wawe wanatupenda, ambapo siamini kama Mungu wanayemuabudu anatupenda binadamu. Maana kila siku Mungu wao mpenda kafara anaanzisha vita duniani, na kuleta matatizo ya kiuchumi duniani ambapo binadamu wana starve na kufa kutokana na ugumu wa maisha kwenye uchumi walioujenga ambao unatumia Pesa from Banking system Cabal kote duniani. Mungu wao anawafundisha wanaomtumikia kuharibu nchi ili isitoe chakula bora kwa kuweka sumu kama mbolea ya chumvi yenye kuharibu root system, kubadilisha mbegu, kutumia herbicide na pesticide kwenye vyakula vyetu, kutumia sumu za kuua magugu kama roundup, ku treat maji ya kunywa kwa sumu kama Chlorine, sumu kama Fluoride zenye kuharibu meno zinawekwa kwenye dawa za meno then meno yakitoboka unaenda hospitali kulipa pesa kuziba meno kwa kuwekewa dawa yenye viambata vya sumu kama Mercury, pia viwanda vya ma Illuminati wenye kumuabudu Mungu wao vinatengeneza maji ya kunywa yenye kuwekewa Fluoride na pia kama Azam ameshusha bei ya maji ya kunywa hadi sh 500 kwa lita 1na nusu ili watu wanywe sana.
FLUORIDE ni sumu inayoharibu jicho la sita la ufahamu ( pineal gland) ambayo huwafanya binadamu wawe rahisi kuwa manipulate. HITLER aliwawekea wayahudi kwenye maji na ikawa rahisi kuwatawala. Na ufahamu huu umeharibiwa kwa wengi na majitu hayana ufahamu yaamini kinachosemwa na Television kuhusu Covid19 na sasa yanajipeleka yenyewe kuchanjwa.
Hawa Illuminati wenye kumuabudu Mungu wao wana Fund elimu zenye kuharibu watu kupitia science maana Science imekuwa ndo kama Mungu inaaminka sana, wameleta takataka nyingine kwenye unga tunaotumia kila siku kwa ugali na ngano wanaweka unga wenye viambata vyenye sumu wao wanaita Lishe na wanafanya kitu inaitwa Fortification, na angalia mifuko yote inayobeba unga kutoka viwandani imepigwa muhuri wa "Fotified" kuonyesha kuwa unga huo umewekewa hivyo viambata. Na wasagaji wa unga huo wa mtaani wanalazimishwa kufunga mashine za kufanya fortification na kama hujafunga mashine hito unapigwa faini kati ya mln 2au Mln 3. Na wanatoa mashine hizo bure na unga huo unapewa bure pia, hakuna anayeuliza Why? Kwa vile pineal gland imeharibiwa, na ufahamu umepotea, umebaki ufahamu wa kula, kunywa, kungonoka, kuangalia tamthilia na mipira na kunya.
Hatari inakuja ambapo umoja wetu sisi binadamu against huyo Mungu wao unahitajika sana. Sisi binadamu ni wengi kupambana na hawa Illuminati ndo maana wanafanya kwa kificho kutuharibu akili zetu ili wachukue uhuru wetu kikamilifu, binadamu hawana habari wanakimbilia kupigwa chanjo ili waweze kusafiri na kwenda Ulaya na kwingineko, ambapo pamoja na kupigwa chanjo mbali mbali ili upate permit ya kusafiri na kupanda ndege lazima upite kwenye lichumba lenye urefu wa Foot 21 na kuchomwa mionzi ( radiation) kwa kile kinachoitwa kukagua kama umevaa bomu au silaha au mlipuko wowote usije kulipua ndege, uchomaji huu ulianza kwa kupitisha zile sheria za kigaidi wakati magaidi wakuu ni hawa hawa na Mungu wao mpenda kafara za binadamu, hawa hawa ndo walilipua majengo ya WTC kule NewYork 9/11 na kwenda kujifanya kuanzisha vita Irac na Afghanistan kumtafuta Osama ambaye walim train wenye na CIA yao kupambana na USSR.
Hawa hawa ndo wanagharamia vita zote duniani na makundi ya magaidi kama Alqaida, BokoHaram, Alshabab, Isis , Kule Congo, na sehemu mbali mbali duniani.
Mionzi hiyo i awachoma abiria wa ndege na bila shaka wanaosafiri sana lazima mionzi hiyo itawapa maradhi ya kutosha kama Brain cancer nk.
Hawa hawa ndio wameruhusu teknologia za kutumia Fossil fuel yaani Dieselna Petrol kuingia kwenye mzunguko na kuchafua hewa safi , mijini au unapotembea barabani muda wote unakutana na kuvuta hewa yenye sumu, Carbonmonoxide hewa yenye sumu wakati teknology safi na salama kama ya umeme ipo na inakuwa suppressed na wao wenyewe na Mungu anayewaongoza.
Wameleta dini zote duniani kama Uislamu, Ukristo, Uyahudi, Uhindu na Ubudha na makundi yao ili kutu divide binadamu na kUtutawala (Divide and Rule) na makundi hayo tunabaki binadamu na ujinga wetu kupigana ipi ni imani sahihi na tunaishia kupigana na kila mtu kuona dini yake ni nzuri, salama na inatufikisha kwenye mbingu, dini zote zimenzia katika utawala wa Sumer Ambapo badae ikaja Babeli, Uajemi, Wagiriki na Roman ambapo ni hao hao ambao wakati fulani hupigana wao kwa wao kuhakikisha Mungu wao agenda yake inatimia, yaani kama walivopiganisha vita zote za dunia.
Bahati mbaya ujinga wa binadamu kwenda kuwafanyia kazi, wanatupa makaratasi yanayoitwa pesa badala ya dhahabu kuzalisha vitu ambavyo vinatudhuru wenyewe. Mfano vijana wanaenda kujiunga kwenye majeshi ili mkaue binadamu mwenzako ambae hujawahi kumuona, kugombana naye, ana wazazi wake, ana watoto na familia inayomtegemea na wakirudi vitani wananchi mbaenda kuwapokea Airport na kuwaita mashujaa, wanaokufa mnawaita mashujaa, majeneza yao yanafunikwa kwa bendera ya nchi na kuwaandika kwenye minara ya kumbukumbu, inasaidia nini hii?
Walioanzisha vita wapo wanakula bata ofisini tayari kutangaza ajira nyingine mkawatumikie. This is manipulation.
Na sasa majinga yatakuja kupinga kila kitu hata kama ukweli ni dhahiri.
Tuamke toka usingizini, jamaa wanakwenda kutumaliza