Vizuri vya mkoa wa Geita

lex96

New Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
3
Reaction score
0
Wakuu habari ya leo, natarajia kutembelea mkoa wa Geita weekend hii, Je ni maeneo gani mzuri sana ya kula bata yenye huduma zote yani nafikiri tumeelewana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaanzia kwenye mataa ya kuvusha mbuzi kisha CRDB, ukishazunguka na maeneo ambayo sijataja, malizia sm Chato.
 
Wakuu habari ya leo, natarajia kutembelea mkoa wa Geita weekend hii, Je ni maeneo gani mzuri sana ya kula bata yenye huduma zote yani nafikiri tumeelewana


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mkoa wa Geita hakikisha unakwenda Chato beach resort, JS Motel, Burigi Chato kwa day trip ya game drive, Rubondo Island hapa kafanye boat excursion tu. Kama hivyo hutopenda basi nenda mji wa katoro kanywe bia mpaka asubuhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shukran mkuu. Kwa Geita mjini viwanja vikali ni vip ?
 
Utaanzia kwenye mataa ya kuvusha mbuzi kisha CRDB, ukishazunguka na maeneo ambayo sijataja, malizia sm Chato.
asante boss. Unaweza taja majina ya maeneo ya starehe kabisa? jina la hotel/bar/club
 
Mtaa unaokesha ni mmoja tu hapo mjini waambie wakupeleke mitaa/barabara ya usbon mpaka classic ina urefu wa nusu kilometer tu, sehemu za kulala, kula, bar na mengineyo yote yamelundikana hapa hapa. Usiku unahama tu kiwanja kimoja hadi kingine kwa mguu huhitaji usafiri na ni salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…