Nikupe na wewe ya bure
subiri wapenda vya bure aka mtelezo waje
Jamaa Yuko sahihi kabisa hakuna mindset za ajabu maisha ya mtandaoni hayako salama 95%
Jamaa Yuko sahihi kabisa hakuna mindset za ajabu maisha ya mtandaoni hayako salama 95%
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina la Agent limenistua,, llama ukituma ingine naichukia[emoji12]
Jina la Agent limenistua,, llama ukituma ingine naichukia[emoji12]
MaweeUkishaiweka vocha wana uwezo wa kupigia simu mtandao husika na kuambiwa hio Vocha imeingizwa kwny no. Ipi ya simu,kama utani vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo wapi huko
Ngoja niweke kigoda kabisa, nisubiri
Mm Ni mtazamaji TU mm Niko katika mfumo wa post paid Babu kwa hyo hyo buku wape wanafunzUkihisi si salama unapotezea tu mzee baba...
Very soon nitatoa laki moja kwa kijana anayesoma chuo ambaye ataweza "Quiz" fulani nitakayoweka.
Nashauri endelea kuwa mtazamaji..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishaiweka vocha wana uwezo wa kupigia simu mtandao husika na kuambiwa hio Vocha imeingizwa kwny no. Ipi ya simu,kama utani vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu tukishapata namba inatusaidia nini??
Kwani namba ya simu ni siri siku hizi?? Mbona easy tu kuipata wala sihitaji nikupe vocha.
Una mzunguko wa zaidi ya watu 500 wenye namba yako ya simu (ndugu, marafiki, co-workers, marafiki wa marafiki zako, uliosoma nao) unahisi kwenye mzunguko huo wote hakuna anayeweza kunipa namba yako??
Think bro..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hafi maskini mtu acha kutishia watu!
Umechanganyikiwa wewe.... Vinanihusu nini mimi.