Kwenye hesabu kuna topic moja ina serials and sequence ukiisoma vizuri na kuielewa basi utaelewa vizuri,Kiufupi tu ni kwamba hauwezi kutengeneza wala kubuni zile tokeni,Wao wenyewe wenye kutengeneza izo vocha wao wenye wenyewe hawawezi kuchukua vocha hadi ziingizwe kwenye system