Voda M-PESA Kulikoni? Tuondoleeni kadhia hii please!

Bobby

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2008
Posts
2,182
Reaction score
1,896
Nina jamaa yangu ametuma pesa zake wiki ya pili hii sasa na yule aliyetumiwa hajaipata bado kila akienda voda M-PESA anaambiwa mtandao wa uko down so ajaribu tena baadaye. Imekwenda hivyo mpaka sasa ni second week pesa hajaishika mkononi, najaribu kuimagine usumbufu anaoupata mteja huyu na wengine hasa ukitilia maanani kwamba mara nyingi watu wanaopt njia hii kwa ajili ya dharura.

Swali kwenu vodacom ni lini mnadhani hiyo server yenu itakuwa UP? Na je hakuna namna ya yeyote ya kufanya compensation kwa wateja wenu kutokana na usumbufu wanaupata kwa kushindwa kuaccess pesa zao?
 
Mimi nilishakumbwa na tatizo kama hilo, nilipiga namba mia moja ya Voda nikasaidiwa instantly na si kwenda kwa wakala pale nilipotuma pesa, wanasema yule hawezi fanya lolote pale, hawezi ku reverse zile transaction. Mwambie apige namba mia moja ya Voda atasaidiwa mara moja na si kurudi pale alipotuma pesa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…