Mnanitumia sana sms za bima. Mkipigiwa kuelezea huduma zenu zipoje mfano bima ya gari makato yake hamasemi. Sasa mnataka tujiunge vipi kibubusa bila kujua makato. Yaani tujiunge tu bila kujua nitakatwa kiasi gani? Hili tatizo la kutokusema gharama atazo incur mteja lipo sana.
Ugonjwa wetu watanzania unaikuta biashara mtu anapost bei hasemi anataka siri sasa unashangaa.
Ugonjwa wetu watanzania unaikuta biashara mtu anapost bei hasemi anataka siri sasa unashangaa.