Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Kwanini kutuma pesa kutoka Voda kwenda Voda inakuwa rahisi na huduma inakuwepo muda wote ila kutuma mtandao tofuti mnasuasua! Leo kuanzaia saa kumi na mbili asubuhi hadi sasa hivi saa nne huduma ya kutuma pesa kwenda mtandao mwingine hakuna! Tatizo hili sio leo tu bali limekuwa likijirudia mara kwa mara.
Baada ya kuona watu wengi wanatumia M-Pesa kununua vifurushi vya muda wa maongezi na data kwenye mitandao mingine ambayo bei zao za huduma zipo chini kuliko ninyi ndio mkaja na mkamkati huu.
Endeleeni na ujinga huu tuone kama hata hiyo Mpesa watu hawataikimbia!
Baada ya kuona watu wengi wanatumia M-Pesa kununua vifurushi vya muda wa maongezi na data kwenye mitandao mingine ambayo bei zao za huduma zipo chini kuliko ninyi ndio mkaja na mkamkati huu.
Endeleeni na ujinga huu tuone kama hata hiyo Mpesa watu hawataikimbia!