Sasa hivi wamenipiga 1000 yangu, nilikuwa natoa mpesa kupelega tigo pesa ili ninunue hitaji langu,ghafula ikaja SMS "samahani muamala wako haukukamilika kwa sababu za kiufundi,tafadhali wasiliana na huduma kwa mteja"MBAYA ZAIDI wamekata pesa kutoka KWENYE salio langu LA mpesa, how come this? Inauma sana kuna SIKU hili lilitokea nikajua watanirudishia ndio ikawa kwa heri ya kuonana.
INAUMA SANA.
wamenifanyia hili SAA 11:38 about 30min ago.