Samedi Amba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 227
- 178
Sasa sijajua kama hapa ndo pa kupaleta, lakini najua makampuni are sensitive to citizen journalism, so acha niseme tu.
Of late nikipiga simu kwenda namba ya vodacom via my vodacom line, ujumbe unaanza "rasimisha laini yako". Mara ya kwanza nikadhani nimefungiwa, nikakata simu muhimu. Kukomaa ndo nkagundua kuwa ni tangazo tu.
For the sake of PR na kupunguza confusion, napendekeza Voda wafanye haya:
Of late nikipiga simu kwenda namba ya vodacom via my vodacom line, ujumbe unaanza "rasimisha laini yako". Mara ya kwanza nikadhani nimefungiwa, nikakata simu muhimu. Kukomaa ndo nkagundua kuwa ni tangazo tu.
For the sake of PR na kupunguza confusion, napendekeza Voda wafanye haya:
- Watoe hiyo notification. Inachanganya cross section ya wateja. Na inawapotezea hela.
- Kuna ile namba ya promotion wanapigiaga simu. Waitumie kutupa huu ujumbe. (sorry, mimi nishaiblacklist)
- Waitume kwa njia ya SMS. Wanaweza kutumia Sender name kama RASIMISHA etc