Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 505
- 872
Ni ukweli usiopingika kuwa Vodacom ndio mtandao wenye huduma bora na imara ya mtandao nchini achilia mbali gharama zao.
Kwa muda sasa nimekuwa mtumiaji mzuri na mwenye kufurahia App zake za my vodacom na M-pesa lakini wiki iliyopita nilianza kupata changamoto kwenye app ya My Vodacom kwani ilianza ghafla tu kunitaka niweke OTP lakini situmiwi hiyo OTP yenyewe.
Nimewasilisha tatizo langu kwa wahusika na wameonesha kulishughulikia lakini mpaka sasa ni kama wameshindwa.
Nadhani ni bora wangekuwa na app moja tu yenye huduma zote hii ingesaidia kuimarisha huduma kwa njia ya app na kupunguza mlundikano wa apps kwenye simu.
Kwa muda sasa nimekuwa mtumiaji mzuri na mwenye kufurahia App zake za my vodacom na M-pesa lakini wiki iliyopita nilianza kupata changamoto kwenye app ya My Vodacom kwani ilianza ghafla tu kunitaka niweke OTP lakini situmiwi hiyo OTP yenyewe.
Nimewasilisha tatizo langu kwa wahusika na wameonesha kulishughulikia lakini mpaka sasa ni kama wameshindwa.
Nadhani ni bora wangekuwa na app moja tu yenye huduma zote hii ingesaidia kuimarisha huduma kwa njia ya app na kupunguza mlundikano wa apps kwenye simu.