Vodacom , Appilication yenu ya M-Pesa ni Mbovu Sana.

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,053
Reaction score
3,259
Hakuma Jambo linakera Kama Mtu afanye Ujinga Kwnye Technologia .
ulishawahi nunua App Kutoka Store yeyote halafu Unakuta ni Fake.
Basi mm najihisi nimepakua Application Fake kutoka Vodacom Inayoitwa Mpesa .

Ona kinachoniletea .,line yangu ni ya voda na nertwork ni ya Voda .

Mwambieni IT wenu achungulie App ya Tigo pesa .. Inateleza haswa . ..wala haichagua sijui nertwork ..sijui nn ..yaani ni laini kuliko Maelezo
 
bora umesema niliwapigia huduma kwa mteja wao wenyewe wanaonekana hata hawaijui vizuri hiyo app inavyooperate
 
first tym inakuhitaji utumie internet connection ya voda na si nyingine.. check configuration ya internent kwenye simu yaku inatumia mtandao gani. naona simu yako inatumia two lines hapo??
 
first tym inakuhitaji utumie internet connection ya voda na si nyingine.. check configuration ya internent kwenye simu yaku inatumia mtandao gani. naona simu yako inatumia two lines hapo??
Natumia Network ya vodacom
 
bora umesema niliwapigia huduma kwa mteja wao wenyewe wanaonekana hata hawaijui vizuri hiyo app inavyooperate
[emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…