Vodacom FWA supakasi

Vodacom FWA supakasi

Jamil_Jamal

New Member
Joined
Jan 6, 2024
Posts
2
Reaction score
0
Habari naomba Vodacom mnitaftie ufumbuzi kwaninhili tatizo kwangu limekua la kudumu.

Nimelipia Supa kasi Fwa ya 115,000 -up to 20Mbps lakini shida inakuja kila mara mnara unaondoka na ishatokea hivo zaidi ya mara 10. Inanibidi nicheki na watu wenu wa customer service nayo imekua changamoto mtu mmoja tu ndo kaweza kulishulikia kugundua kuaninabidi Profile iwe refreshed.

Muangalia hii shida kwanini mara kwa mara inatokea na murekebishe nishachoka kua changamoto inajirudia na hua inachkua mdaa sanaa mpaka kufanyiwa kazi mpaka net ikarudi.

Vodacom jitahidini kusolve katika hivi vitu mlivo introduce halafu haviko 100% inakua inakula kwetu wateja.
 
Habari naomba Vodacom mnitaftie ufumbuzi kwaninhili tatizo kwangu limekua la kudumu.

Nimelipia Supa kasi Fwa ya 115,000 -up to 20Mbps lakini shida inakuja kila mara mnara unaondoka na ishatokea hivo zaidi ya mara 10. Inanibidi nicheki na watu wenu wa customer service nayo imekua changamoto mtu mmoja tu ndo kaweza kulishulikia kugundua kuaninabidi Profile iwe refreshed.

Muangalia hii shida kwanini mara kwa mara inatokea na murekebishe nishachoka kua changamoto inajirudia na hua inachkua mdaa sanaa mpaka kufanyiwa kazi mpaka net ikarudi.

Vodacom jitahidini kusolve katika hivi vitu mlivo introduce halafu haviko 100% inakua inakula kwetu wateja.
Nenda kwenye Uzi wa voda
 
Kuna mwenzio alileta uzi humu akisema atawafikisha mahakamani nadhani ni vyema ukaungana nae kuliko kuleta masimango humu
 
Hilo bando la 115k limenisumbua sana, yaan huwa linakata tu out of nowhere! Ila toka nimeupgrade kwenda 5g sijakutana tena na hizo changamoto!
 
Hilo bando la 115k limenisumbua sana, yaan huwa linakata tu out of nowhere! Ila toka nimeupgrade kwenda 5g sijakutana tena na hizo changamoto!
Hilo la 115 mpaka leo Antena yao waligoma kuja chukua imekeaa tu.


Inazingua balaa
 
Kuna mwenzio alileta uzi humu akisema atawafikisha mahakamani nadhani ni vyema ukaungana nae kuliko kuleta masimango humu
Kwenye wengi kuna mengi, hu uzi nishautuma na kama unavoona hii shida ipo, wapo wanaochangia kwasababu imewakuta na inasaidia kuelewa walichofanya.
 
Kwenye wengi kuna mengi, hu uzi nishautuma na kama unavoona hii shida ipo, wapo wanaochangia kwasababu imewakuta na inasaidia kuelewa walichofanya.
Sawa lakini humu huwezi kupata suluhu kwa matatizo ya Vodacom,wapelekeni mahakamani tu
 
Hivi vigushi vimekaje vya internet, unanunua kifurushi Cha 5000 Cha wiki ndani ya siku mbili kimeisha inasikitisha sana, maisha ya sisi engine ni ya kuungaunga, iweje iniuzie kitu Cha kutumia wiki kiishe kwa siku mbili wanasheria tusaidieni sisi wanyonge
 
Back
Top Bottom