Vodacom hawajatoa gawio la hisa mwaka huu, shida nini?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Kampuni ya mawasiliano kwa njia ya simu za mikononi Vodacom, hawakutoa gawio kwa wana hisa wake, shida nini?

Ni kawaida kutoa gawio mwezi June au July, lakini mwaka huu hakuna kitu.

Kunanini Vodacom?
 
Si walisema wamepata hasara hawa?
 
Vodacom ni shirika mfu hilo,hamna pesa tena pale

Hata hayo magawio ya nyuma ilikuwa Mwendazake anachota hazina anaanda hafla anazikabidhiwa tena
 
Tumuulize mwanahisa mwenzetu waziri mkuu maana alimnunulia mkewe hisa za voda zenye thamani ya mil. 10.
Atupe mrejesho. Badala mtu kuacha hela kwenye kampuni uchwara Kama hii, ni Bora uzungushe kwenye biashara ndogo.
 
Kwani kujiongeza nayo inahitaji digirii si uliona CEO aliresign
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…