Vodacom Huduma kwa wateja MPESA mnakera

mezanane

Senior Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
116
Reaction score
185
Wadau usiku huu leo nimekereka sana na wahudumu walio zamu Vodacom huduma kwa wateja M Pesa. Yaani unapiga simu 100 unachagua kuongea na mhudumu unawekwa kwenye foleni then mziki unakatwa maana umeundanishwa na Mhudumu. Cha ajabu Mhudumu hazungumzi chochote kwa dk 7 unakata matokeo ni hayo hayo. Jamani tutafika chukueni hatua sio biashara na hampo pekee yenu sokoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…