Vodacom. Huduma ya Tusuamapene.

Vodacom. Huduma ya Tusuamapene.

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
hii huduma mbona mnatuibia pesa wenu, ukiweka tu salio wanakata 100, 300 ukiuliza uaambiwa ulijiunga na huduma ambazo hata hauzijui mbona watu wa Mitandao ya simu wanatuibia, wateja woa.
Wizi kila sehemu.
 
Back
Top Bottom