nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Naomba niwe muwazi. Mimi ni mmoja kati ya watu wanaotumia huduma za kifenda za hii mitandao ya simu.
Naomba kuwapongeza tigo kwakua wako poa na hawajawahi kunisumbua.
Tatizo ni kwa hawa mpesa ambao ni vodacom. Kwakweli mnakela. Nimefanya malipo kwa selcom mgahawa mmoja pale mlimani city, hela imekatwa kwenye acc yangu lakini hakuna meseji iliyorudi kwangu wala risiti haijatoka kwenye ile mashine ya selcom pale mgahawani. Hili tatizo sio mara ya kwanza. Juzi nililipa jumia kwa selcom yao, pia meseji haikurudi. Meseji ilikuja kurudi kesho yake asubuhi.
Najiuliza, hivi ingekua nimelipa kwa watu nisio wafahamu ile juzi, ingekuaje??? Maana ukilipa kwa selcom, meseji ndo uthibitisho endapo risiti haijatoka kwenye kile kimashine.
Pia, leo nimejikuta nalipia mara ya pili kwakua nilikua nahitaji huduma.
Swali langu kwenu ni je, nitaipataje hiyo hela yangu???? Maana naamini kabisa kesho mtatuma confirmation message.
Kusema kweli, nimekua disappointed sana na nyie. Na ninasema kuwa huduma zenu bi za hovyo kabisa
Naomba kuwapongeza tigo kwakua wako poa na hawajawahi kunisumbua.
Tatizo ni kwa hawa mpesa ambao ni vodacom. Kwakweli mnakela. Nimefanya malipo kwa selcom mgahawa mmoja pale mlimani city, hela imekatwa kwenye acc yangu lakini hakuna meseji iliyorudi kwangu wala risiti haijatoka kwenye ile mashine ya selcom pale mgahawani. Hili tatizo sio mara ya kwanza. Juzi nililipa jumia kwa selcom yao, pia meseji haikurudi. Meseji ilikuja kurudi kesho yake asubuhi.
Najiuliza, hivi ingekua nimelipa kwa watu nisio wafahamu ile juzi, ingekuaje??? Maana ukilipa kwa selcom, meseji ndo uthibitisho endapo risiti haijatoka kwenye kile kimashine.
Pia, leo nimejikuta nalipia mara ya pili kwakua nilikua nahitaji huduma.
Swali langu kwenu ni je, nitaipataje hiyo hela yangu???? Maana naamini kabisa kesho mtatuma confirmation message.
Kusema kweli, nimekua disappointed sana na nyie. Na ninasema kuwa huduma zenu bi za hovyo kabisa