Vodacom Kasi Internet ni Utapeli?

Vodacom Kasi Internet ni Utapeli?

shamimuodd

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,188
Reaction score
2,113
GTs,

Nimekuwa muumini wa huduma bora toka VODACOM, hasa kwenye bundle za internet. Na nimekuwa muumini wa KASI INTERNET, ila cha ajabu bundle ya internet hiyo ya kasi imekuwa na spidi ya kobe, yaani kila kitu kipo slow mpaka najiuliza hivi kuna tatizo?

Je ni mtandao gani wa simu wenye internet kasi kwa sasa?

Natumia iPhone 13 Pro Max, na nipo Dar es Salaam, naishi upanga.

Naomba jamani mwenye kujua nifanyeje maana maisha yangu yanategemea access ya mtandao 24/7
 
GTs,

Nimekuwa muumini wa huduma bora toka VODACOM, hasa kwenye bundle za internet. Na nimekuwa muumini wa KASI INTERNET, ila cha ajabu bundle ya internet hiyo ya kasi imekuwa na spiti ya kobe, yaani kila kitu kipo slow mpaka najiuliza hivi kuna tatizo?

Je ni mtandao gani wa simu wenye internet kasi kwa sasa?

Natumia iPhone 13 Pro Max, na nipo Dar es Salaam, naishi upanga.

Naomba jamani mwenye kujua nifanyeje maana maisha yangu yanategemea access ya mtandao 24/7
Hv unajua unachoongea ama

Sasa mkuu yanini ueke na aina ako ya smu
Kasi umemalza GB zako Voda kakupa ofa ue na internet service ad mwsho wa mwezi Sasa Bado huridhiki
 
Hv unajua unachoongea ama

Sasa mkuu yanini ueke na aina ako ya smu
Kasi umemalza GB zako Voda kakupa ofa ue na internet service ad mwsho wa mwezi Sasa Bado huridhiki
Nina GB 28
 
A32880BB-D82F-4E6F-BE97-49481D85E06D.jpeg
 
Hv unajua unachoongea ama

Sasa mkuu yanini ueke na aina ako ya smu
Kasi umemalza GB zako Voda kakupa ofa ue na internet service ad mwsho wa mwezi Sasa Bado huridhiki
Ameweka aina ya simu maana anajua kuna binadamu wana nongwa sana watakuja kumwambia simu unayotumia ni mbovu au watasema ni zile simu zetu pendwa
 
Cheki settings zako tu. Voda kasi yao hainaga shaka kabisa
 
Ameweka aina ya simu maana anajua kuna binadamu wana nongwa sana watakuja kumwambia simu unayotumia ni mbovu au watasema ni zile simu zetu pendwa
[emoji38][emoji38]
 
Ila nadhani wawe wanatujulisha kuhusu tatizo mtandao
 
GTs,

Nimekuwa muumini wa huduma bora toka VODACOM, hasa kwenye bundle za internet. Na nimekuwa muumini wa KASI INTERNET, ila cha ajabu bundle ya internet hiyo ya kasi imekuwa na spidi ya kobe, yaani kila kitu kipo slow mpaka najiuliza hivi kuna tatizo?

Je ni mtandao gani wa simu wenye internet kasi kwa sasa?

Natumia iPhone 13 Pro Max, na nipo Dar es Salaam, naishi upanga.

Naomba jamani mwenye kujua nifanyeje maana maisha yangu yanategemea access ya mtandao 24/7
Niko Huku mkoa Ngoma Inasoma 4G+ ila sasa....hamna kitu Bure kabisa
 

Attachments

  • Screenshot_2022-07-22-03-55-16-753_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-07-22-03-55-16-753_com.android.chrome.jpg
    135.1 KB · Views: 43
Kwa hapa Dar mtandao wenye kasi kubwa ya Internet ni Airtel hio mingine ina ufala mwingi wana weza wakakupa bando kubwa ila network utajua pakuitoa, ila Airtel wao wana kupa bando na wanakupa na speed ninacho kiandika hapa nina uhakika nacho nili prove hii mitandao kwenye kuangalia live mechi kabla ligi hazija tamatika nika gundua Airtel baba lao wengine wana fuata msimamo ni

1.Airtel
2.Voda
3.Tigo
4.TCCL
5.Hallotel

Ukijifanya mbishi utajiju mwenyewe mimi nime prove
 
GTs,

Nimekuwa muumini wa huduma bora toka VODACOM, hasa kwenye bundle za internet. Na nimekuwa muumini wa KASI INTERNET, ila cha ajabu bundle ya internet hiyo ya kasi imekuwa na spidi ya kobe, yaani kila kitu kipo slow mpaka najiuliza hivi kuna tatizo?

Je ni mtandao gani wa simu wenye internet kasi kwa sasa?

Natumia iPhone 13 Pro Max, na nipo Dar es Salaam, naishi upanga.

Naomba jamani mwenye kujua nifanyeje maana maisha yangu yanategemea access ya mtandao 24/7
Tigo inaunafuu
 
GTs,

Nimekuwa muumini wa huduma bora toka VODACOM, hasa kwenye bundle za internet. Na nimekuwa muumini wa KASI INTERNET, ila cha ajabu bundle ya internet hiyo ya kasi imekuwa na spidi ya kobe, yaani kila kitu kipo slow mpaka najiuliza hivi kuna tatizo?

Je ni mtandao gani wa simu wenye internet kasi kwa sasa?

Natumia iPhone 13 Pro Max, na nipo Dar es Salaam, naishi upanga.

Naomba jamani mwenye kujua nifanyeje maana maisha yangu yanategemea access ya mtandao 24/7

Funga Unlimited Zuku..69,000 kwa mwezi utajutia
 
Back
Top Bottom