Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Nimetumiwa sms na voda sasa hivi, siku chache zijazo vifurushi vyao vitabadilika. Hawajaweka wazi kama wataongeza au watapunguza? Tutarajie nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi wataweka hivyo maana mitandao karibia yote 1500 unapata Gb1 kasoro Voda mpk uwe na buku mbili hiyo imepelekea watu wengi kubadilisha kambi kwa muda na mimi nikiwa miongoni mwao.Gb 1 ilikua 1500tsh kwa wiki,ila hadi jana ilikua 1500 kwa mb 800 wiki
Tigo bado ni 1500/- tshs GB 1Gb 1 ilikua 1500tsh kwa wiki,ila hadi jana ilikua 1500 kwa mb 800 wiki
Voda wameshabadili,😭Nimetumiwa sms na voda sasa hivi, siku chache zijazo vifurushi vyao vitabadilika. Hawajaweka wazi kama wataongeza au watapunguza? Tutarajie nini?
View attachment 2205681
Nahisi wataweka hivyo maana mitandao karibia yote 1500 unapata Gb1 kasoro Voda mpk uwe na buku mbili hiyo imepelekea watu wengi kubadilisha kambi kwa muda na mimi nikiwa miongoni mwao.
Watasingizia vita vya Ukraine 🇺🇦Nimetumiwa sms na voda sasa hivi, siku chache zijazo vifurushi vyao vitabadilika. Hawajaweka wazi kama wataongeza au watapunguza? Tutarajie nini?
View attachment 2205681
Umehamia wapi babaNahisi wataweka hivyo maana mitandao karibia yote 1500 unapata Gb1 kasoro Voda mpk uwe na buku mbili hiyo imepelekea watu wengi kubadilisha kambi kwa muda na mimi nikiwa miongoni mwao.
Mimi nina line tatu Voda , Tigo , na Halotel . Voda nimekimbia mdau baada ya kutoa kifurushi cha WK buku 3 kwa Gb nikawa Tigo sasa nimerudisha majeshi yangu yote Halotel maana hawa ndio gharama zipo nafuu kwa sasa kuliko wote baada ya kufanya tafiti jana .Umehamia wapi baba