malamsha shao
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 215
- 79
Kama unataka line ni PM
Kama unataka line ni PM
Kwanza inategemea na mzunguko wa wateja mf.ukiwa unapata wateja wengi wa kutoa pesa commission inakua nzuri kuliko kuweka
Minimum comission per transaction ni ngapi?
mkuu hiyo biashara inataka moyo,mi niliifanya nikachemka! ktk milioni moja commision ilikuwa elfu 15!!!!!!!
By bibliography
Kwanza inategemea na mzunguko wa wateja mf.ukiwa unapata wateja wengi wa kutoa pesa commission inakua nzuri kuliko kuweka