Vodacom m-pesa mawakala

malamsha shao

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2012
Posts
215
Reaction score
79
Wana jf ninaomba wenye uzoefu waniambie faida inapatikanaje kwa kila transaction na inachukua muda gani kuomba mpaka kupewa code au line ya uwakala na gharama zozote unazoingia ili kupata hiyo line natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mchango wenu
 
weka wazi mkuu kwa manufaa ya umma.
Kizuri chajiuza, watu wakishaona faida yake wata ku pm wenyewe bila hata kuwaamaia.
 
Kwanza inategemea na mzunguko wa wateja mf.ukiwa unapata wateja wengi wa kutoa pesa commission inakua nzuri kuliko kuweka
 
By bibliography

Kwanza inategemea na mzunguko wa wateja mf.ukiwa unapata wateja wengi wa kutoa pesa commission inakua nzuri kuliko kuweka



Minimum comission per transaction ni ngapi?

Sh mia tatu hadi mia nne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…