Vodacom Mastercard kuna shida gani tena?

Vodacom Mastercard kuna shida gani tena?

Joined
Dec 31, 2020
Posts
91
Reaction score
134
WAHESHIMIWA HABARI

Leo nimweka pesa mara mbili kutoka m pesa kwenda Mastercard ili nilipie FB ads cha ajabu imetoka mpesa lakini aijaingia Mastercard na wala zile sms hazijarudi ukicheki M Pesa hakuna kitu ukicheki Mastercard hakuna kitu basi nikajua nimekosea nikaweka mzigo mingine tena tena ikawa vile vile nikaamua kuwachek wamesema baada ya siku 8 dah.

Nimehamia Airtel mabako inakua Airtel Money sio kuhamisha hamisha tena tu mana washachukua 85 yangu eti baada ya siku 8 si utani huu.

Waheshimiwa kama kuna mtu ana shida au ashawahi pata shida kama hii atoe maona na msaada ilikuaje na wanarudisha au ndo nimechangia kampuni.

Thanks
 
Umelipa deni la songesha mkuu, ulidhani wanasamehe kirahisi tu?
 
Umelipa deni la songesha mkuu, ulidhani wanasamehe kiraisi tu?
Hapana situmii songesha mkuu natumia Mastercard bna ni kila siku leo nashangaa ndugu halafu nimecheki na watu wengine kumbe ni wengi inawatokea ivi kiukweli ningekuwa na namba ya jiwe/magu ningempigia aiwezekani ela yangu waniambie baada ya siku 8 kwa iyo dawa ni kuhamia Airtel tu.
 
Apana situmii songesha mkuu natumia mastercard bna ni kila siku leo nashangaa ndugu afu nimechek na watu wengine kumbe ni wengi inawatokea ivi kiukweli ningekua na namba ya jiwe/magu ningempigia aiwezekani ela yangu waniambie baada ya siku 8 kwa iyo dawa ni kuhamia Airtel tu.
Sanga Kariakoo inaonekana una madeal makubwa makubwa.
 
Umelipa deni la songesha mkuu, ulidhani wanasamehe kirahisi tu?
Hahahahahah huyo ndio Vodacom a.k.a sterling wa Majambazi wa kimtandao 😂😂😂!!!

Ye anafyeka tu hata kama hela za kumuuguzia mama hajali 😁
 
Back
Top Bottom