Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Kwa muda sasa nimekuwa mtumiaji wa huduma ya M-Pesa. Pamoja na matatizo ya mara kwa mara ya "network"! lakini bado imekuwa ikisaidia sana katika kutuma pesa...
Tatizo lililopo ni kuwa hawa "mawakala" ni "wababaishaji" wakubwa sana - kila mara ukienda pale wanakwambia kuwa "hawana credit"!
Kama wamiliki wa Vodacom wanaingia hapa JF ni wakati muafaka mkaaza ku-review uwakala wa M-Pesa!
nakubaliana na wewe, je unahisi ni nini haswa wanafanya??
Ishu ni kwamba mitaji ni ishu. Vilevile suala la usalama wa pesa zenyewe. Ni risk kuwa na pesa nyingi sana kutokana na issue ya security