Swahiba, pale hata angeshinda yupi hakuna aliyekuwa na sifa za kushinda miss world. Ushauri wangu ni kwa wanaJF mwakani wapige jaramba. Kina Firstlady1, Nyamayao, MJ1, Maria Roza, Sugar la ukweli....... mpo? Don't let us down bana. Mnazo sifa zoooote! Twendeni vitani. Siasa hatuiwezi kwa kuwa imekamatwa na mafisadi. Tuangalie upande wa pili, Ulimbwende!
Swahiba, pale hata angeshinda yupi hakuna aliyekuwa na sifa za kushinda miss world. Ushauri wangu ni kwa wanaJF mwakani wapige jaramba. Kina Firstlady1, Nyamayao, MJ1, Maria Roza, Sugar la ukweli....... mpo? Don't let us down bana. Mnazo sifa zoooote! Twendeni vitani. Siasa hatuiwezi kwa kuwa imekamatwa na mafisadi. Tuangalie upande wa pili, Ulimbwende!
lalala lalala so Chrispin hebu tuje kwenye swala zima la gari ..mbona lilikuwa na vumbi kama vile limetoka japan likiwa linaendeshwa ???
Kaka kuwa makini wengine waume hapo ID zao ni zakike!
Lol! Madume jike mpwa.
Hahaha men zinazuga zuga na kuna dada hapa JF wana majina ya kiume muhimu sana kuomba namba za simu kwenye PM unakongoli usije lambishwa mchanga hahahahah!
Kaka kuwa makini wengine waume hapo ID zao ni zakike!
Ahsante kwa elimu mkuu. Ntaanza na Vera. Jina tamu sana lile.
Huyu nitakusaidia she is a sweet lady well mature
Maana na Vera
Veracity = Faith city
Upo Chris mPM number akikunyima niPM mimi nitakupa uhangaike naye!
Ahsante mpwa. Ngoja nijaribu bahati yangu. Nikimkosa nahamia kwa Carmel au Nyamayao (nyamayetu?)
Kuna mmoja hapo ni mwanaume kuwa makini!
Ahsante mpwa. Ngoja nijaribu bahati yangu. Nikimkosa nahamia kwa Carmel au Nyamayao (nyamayetu?)
haaa labda jaribu hapo kwengine, mie na wewe kila cku tutaishilia kufungwa ma P.O.P......lol
haaa labda jaribu hapo kwengine, mie na wewe kila cku tutaishilia kufungwa ma P.O.P......lol
Mpwa unanitisha, post zao za kidemudemu lakini. Labda wanazo 2. Hahahaha! Nisije nikaliPM dume jenzangu, utakuwa msala unakutana kwenye kideti na lijitu kama Idi Amin. lol!
nyamayao kwani weye ni bondia ?😉
hivi huyo alietolewa kwa kubainika mjamzito ni kwamba na yeye hakujijua kama mjamzito au aliamua tu kucheza rafu......hii kitu mabinti wanaikurupukia sana.
hivi huyo alietolewa kwa kubainika mjamzito ni kwamba na yeye hakujijua kama mjamzito au aliamua tu kucheza rafu......hii kitu mabinti wanaikurupukia sana.
ctakagi masihara na hawa watu....sasa mtu kama Chriss nina uhakika wa kuzicheza nae kila kukicha....
Nasikia ni toa tiGo sasa sijui mimba iliingiaje !