Vodacom mnakera

Vodacom mnakera

mandawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
772
Reaction score
1,119
Wadau hivi Vodacom wanawezaje kutoa numba tofauti ya kuwasiliana nao mbali na Ile ya 100 ambayo inahudumiwa na robot tu wala huwezi ongea na mhudumu.

Na hii walivotoa kama mbadala 0754705000 sio free lazima uwe na salio na kama haitoshi unakaa hewani nusu saa na zaidi hamna mhudumu anapokea.

Wanazidi kusema subiri ila hamna huduma na salio wa nakata, naomba uongozi mlishughulikie hili la customer care center na tunaomba iwe free
 
Nilinunua umeme wa elfu 25 ela wakachukua na token hawakurusha saa sinikasema ngoja niwapigie niwakalipie ili wanilushie chap niendelee na mishe nyingine

Weeeee mbona nilikata simu nikafanya mambo yangu nnachoshukuru jioni yake wakanilushia token ila hawapokeagi
 
Back
Top Bottom