Vodacom Mnakiuka Agizo na makubaliano mliyofanya na Serikali

Vodacom Mnakiuka Agizo na makubaliano mliyofanya na Serikali

Gwamanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2021
Posts
223
Reaction score
434
Wanajukwaa kuanzia leo nimeona mabadiliko kwenye Akaunti yangu ya Mpesa upande wa Tozo za kutuma Pesa kwenda Mitandao mingine na kwenye Tozo za lipa kwa Simu Ndo kusema kuwa vodacom wanapuuza Makubaliano waliyoyaweka, Watanzania wanyonge Tunalia na Tozo hizo!
 
Yaani ukiweka Bandle voda linaisha upesi utadhani mnatumia wote na wafanya kazi wao
 
Back
Top Bottom