mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Una moyo.mil 10 kwa ajili ya hisa.tena mkopo.Vodacom walianza kuuza hisa zao za IPO tarehe 9 march na kufunga tarehe 18 april, ila waliongeza muda kwakuwa hazikununuliwa kwa kiwango kilichotarajiwa. sasa toka wameongeza muda hatupati mrejesho wowote na uuzaji umefungwa , tunasubiri zitangazwe sokoni tuanze trading, mimi nahisi kuna kutapeliwa hapa. au tusubiri mpaka mwakani. mmekaa kimya kama vile hamujui watu tumekopa tukawekeza, mimi nimechukua mkopo wa mil 10 nikanunua hisa, ila wamechukua pesa zangu wamekaa kimya
Mkuu kutapeliwa hakupo ila feedback coz watu wameweka pesa yao tena wa kipato cha chini waliwapata safari hiiVuta subira, hauwezi ukatapeliwa
anhaa...sawaMkuu kutapeliwa hakupo ila feedback coz watu wameweka pesa yao tena wa kipato cha chini waliwapata safari hii
Aisee hii ni website gani nipe link
Ni app inaitwa "leverage scholar"Aisee hii ni website gani nipe link
Seriously