Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Vodacom Tanzania
Wanasema if it ain't broke don't fix it....
Ni ukweli usiopingika kwamba Mawakala ni Business Partners wenu, bila Mawakala basi hata kama mteja wa mwisho anapata punguzo kubwa huenda akakosa sehemu ya kutolea hilo punguzo (refer ule mtandao wenye makato madogo kuliko nyie..)
Sasa mlivyoanzisha issue ya kwamba kila wakala akijaza pesa zake ili kufanyia kazi anakatwa percentage.., (ingawa mmesema mmeongeza faida kulipishia hili ) LAKINI kuna tatizo moja kubwa ambalo linatokea.., baadhi ya Mawakala sasa hivi wanakuwa wavivu kuongeza salio kwenye simu, wanangojea mtu aweke ili zipatikane za kutoa.., vile vile wale wa kutoa pesa nyingi mara nyingine wanakuwa wanakosa huduma kwa Mawakala kudai hawana salio..
Please tafuteni njia nyingine ya kujipatia faida au kama hii ni faida ya kwenda kwa Mawakala Wakuu basi muongee nao hata mpunguze commission kwao ili wale wanaotoa pesa nyingi waendelee kupewa huduma kama zamani
Wanasema if it ain't broke don't fix it....
Ni ukweli usiopingika kwamba Mawakala ni Business Partners wenu, bila Mawakala basi hata kama mteja wa mwisho anapata punguzo kubwa huenda akakosa sehemu ya kutolea hilo punguzo (refer ule mtandao wenye makato madogo kuliko nyie..)
Sasa mlivyoanzisha issue ya kwamba kila wakala akijaza pesa zake ili kufanyia kazi anakatwa percentage.., (ingawa mmesema mmeongeza faida kulipishia hili ) LAKINI kuna tatizo moja kubwa ambalo linatokea.., baadhi ya Mawakala sasa hivi wanakuwa wavivu kuongeza salio kwenye simu, wanangojea mtu aweke ili zipatikane za kutoa.., vile vile wale wa kutoa pesa nyingi mara nyingine wanakuwa wanakosa huduma kwa Mawakala kudai hawana salio..
Please tafuteni njia nyingine ya kujipatia faida au kama hii ni faida ya kwenda kwa Mawakala Wakuu basi muongee nao hata mpunguze commission kwao ili wale wanaotoa pesa nyingi waendelee kupewa huduma kama zamani
Last edited by a moderator: