Tirus
Member
- Nov 9, 2010
- 50
- 13
FURSA NJEMA KWA KILA MTANZANIA.
HUU NI UKUMBUSHO Kwa Wale wote waliopata Tili zao za Vodacom Mpesa na wapo chini ya kampuni yetu.
Ndugu Wakala tunawapongeza kwa uvumilivu wenu na hatimaye kuona matunda ya uvumilivu wenu , hivyo basi endeleeni kunufaika na Biashara ya Vodacom Mpesa,endapo una tatizo lolote tuendelee kuwasiliana.
Vilevile endapo kuna Ndugu, Jamaa na marafiki wanaopenda kujiunga na Kuwa Mawakala wa Vodacom Mpesa, basi waambie wafuate utaratibu uleule, ambapo tutaomba atutumie photocopy ya TIN-TRA, LESENI pamoja na KITAMBULISHO CHAKE.
Hahakikishe Majina yote yanafanana kwenye LESENI, TIN-TRA pamoja na KITAMBULISHO chake.
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi-0768-684790 , 0787-899196 , 0756-027849 au ututumie e-mail kupitia cyrusomolo@gmail.com AU mnyambuenterprises@yahoo.com
Tunakutakia Mafanikio mema.
Cyrus Okolah Omolo
MNYAMBU ENTERPRISES-WAKALA MKUU WA VODACOM TANZANIA
S.L.P 281 MWANZA
S.L.P 156 BARIADI-SIMIYU
HUU NI UKUMBUSHO Kwa Wale wote waliopata Tili zao za Vodacom Mpesa na wapo chini ya kampuni yetu.
Ndugu Wakala tunawapongeza kwa uvumilivu wenu na hatimaye kuona matunda ya uvumilivu wenu , hivyo basi endeleeni kunufaika na Biashara ya Vodacom Mpesa,endapo una tatizo lolote tuendelee kuwasiliana.
Vilevile endapo kuna Ndugu, Jamaa na marafiki wanaopenda kujiunga na Kuwa Mawakala wa Vodacom Mpesa, basi waambie wafuate utaratibu uleule, ambapo tutaomba atutumie photocopy ya TIN-TRA, LESENI pamoja na KITAMBULISHO CHAKE.
Hahakikishe Majina yote yanafanana kwenye LESENI, TIN-TRA pamoja na KITAMBULISHO chake.
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi-0768-684790 , 0787-899196 , 0756-027849 au ututumie e-mail kupitia cyrusomolo@gmail.com AU mnyambuenterprises@yahoo.com
Tunakutakia Mafanikio mema.
Cyrus Okolah Omolo
MNYAMBU ENTERPRISES-WAKALA MKUU WA VODACOM TANZANIA
S.L.P 281 MWANZA
S.L.P 156 BARIADI-SIMIYU