Vodacom mtaniua vyuma vimekaza..

tatu mzuka siku hizi wakikutext wanakutaja mpaka jina ili uingie mkenge
 
Bro cheza upate kete nyingi utashinda kama mimi
 
Bro cheza upate kete nyingi utashinda kama mimi
Kila nikiweka salio wanakata nimewapigia wakawa wapolee... Hadi nikatamani kumtongoza yule customer care[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Kila nikiweka salio wanakata nimewapigia wakawa wapolee... Hadi nikatamani kumtongoza yule customer care[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Npe jina lake kesho nimwambie dmct kakuelewa
 
Hahahaa ni 100
 
Voda na vifurushi vyao vya internet vinavyokaa sekunde tu, nawagawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…