Vodacom na airtel kinara internation calls

Vodacom na airtel kinara internation calls

olimpio

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2023
Posts
418
Reaction score
866
Makampuni ya simu ya VODACOM na AIRTEL yameonekana kufanya vizuri kwa simu za nje ya nchi , yaan international incomming calls na out going calls , TIGO inafuatia pia kwa karibu , huenda VODACOM wanaongoza kutokana na kuwa na partner companies nyingi chini ya mwamvuli wa vodafone , au wana gharama nafuu kulingana na wenzake?

Lakini pia inawezekana TIGO inatumiwa zaidi na wateja wasio na connection za nje (just joking)
1683063377388.png
 
Hivi kuna kuna mtu ananunua international calls sijui niseme ni ushamba au nini!

Maana ukiwa na internet bundles zinatosha
 
Kuna watu wanapiga simu za kimataifa kwa simu ya kawaida?!
 
Back
Top Bottom