olimpio
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 418
- 866
Makampuni ya simu ya VODACOM na AIRTEL yameonekana kufanya vizuri kwa simu za nje ya nchi , yaan international incomming calls na out going calls , TIGO inafuatia pia kwa karibu , huenda VODACOM wanaongoza kutokana na kuwa na partner companies nyingi chini ya mwamvuli wa vodafone , au wana gharama nafuu kulingana na wenzake?
Lakini pia inawezekana TIGO inatumiwa zaidi na wateja wasio na connection za nje (just joking)
Lakini pia inawezekana TIGO inatumiwa zaidi na wateja wasio na connection za nje (just joking)