Vodacom na huduma za kukopesha-Mgodi na Mpawa

Mzalendo07

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
71
Reaction score
120
MIe kama mteja wa muda mrefu wa Voda nimepata na ukakasi kidogo, ni hivi hawa jamaa mara nyingine unakuta deni limelipwa wao hawajakata, wanaendelea kulitambua deni na muda unafika wanakupiga fine.

Ukiwa unafuatilia utalijua hilo na bado watachukua muda mrefu kurekebisha bila ya kukurudishia fidia za usumbufu na makato. Je, kwa wake ambao sio wafuatiliaji ni kinatokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…