Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 100
hata miee nashangaa kwanini wasingeweka hiyo huduma kwa TTCL,
amabayo ndo ya kwao. kwanza ingesaidia kuipa uhai, nyambaaaaaaaaafff....
Magwanda kwa Kusengenya mko juu naona mmeanzisha bifu na Voda!
Sio bifu....Magwanda kwa Kusengenya mko juu naona mmeanzisha bifu na Voda!
Babu karibu JF. Lakini naona kama avatar yako inadhalilisha watoto.hata miee nashangaa kwanini wasingeweka hiyo huduma kwa TTCL,amabayo ndo ya kwao.kwanza inge saidia kuipa uhai,nyambaaaaaaaaafff....
dah!! mkuu hapo umenena, halafu wanamtaka na mmiliki ajivue gamba, inawezekana kweli?