Niko vodacom kwa zaidi ya miaka 10..ninachojua sip tu wezi..pia ni wachawi. Kwanza bundle nyingi bei ina tofauti kwa mteja na mteja kulingana na matumizi yako. Lakini mbaya zaidi nilipoona nanunua salio au natuma pesa haifiki na salio wanachukua niliamua kuwahama..Huwezi amini nilifanya tu kubadili namba ya simu na sio kuhama vodaππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί. Nilitupa line yanhu na nikaenda tena voda kusajili nyingine. NI WACHAWI, KUJINASUA UENDE TU KWENYE MAOMBI. MIMI PIA NITAENDA1π₯Ίπ₯ΊTangu Vodacom Tanzania wapunguze Bundle wamekuwa na tabia ya kutokutuma ujumbe wa kiasi cha bundle ulichonunua, thamani yake na muda wa matumizi! Nimejaribu kuwasiliana nao bila mafanikio.
Jana nikajiunga tena na bundle ya week ya Tzs 3,000 ila sijapokea SMS tena inayoosha thamani, kiwango na muda wa matumizi. Kwa bahati mbaya sana mchana huu wananiambia kifurushi kimeisha!
Na Jana muda mwingi SAna nilikua offline. Kimetokea nini? Nimenunua tena mchana huu issue iko pale pale.
Na hii niliwahi experience Mara kadhaa huko nyuma. Ukinunua kifurushi halafu hupati SMS alert basi ujue hio bundle haina uhai mwingi.
Ukiwapigia ukabahatika kuwapata, sana majibu ya kukaririshwa mno! Hawanaga msaada wowote.
Anyway, nimenunua tena wacha tuendelee kunyanyaswa.
Yaani sometime wanatuma msg eti bado mb 150, unaamua kuzimansata na kusign out insta kupunguza matumizi. The ushazima.data unaambia kifurushi kimeishaKuna siku nimeuliza salio la mb zangu zilizobaki nikiwa nipo data on wakaniambia zimebaki mb 68, nikaona kumbe zitanisukuma, nimeingia fb tu ndan ya dak tano nikaona fb haiendi tena, mm hangaika weeeeπππ nikijua shida itakuwa mtandao mpaka nikarequest internet configuration πππ, nimeikofim sasa ingia tena inagoma, nikasema ngoja nijarb yutubu. Mwee ngoma ikagoma. Bc akili ikasema we Abeid ebu ulizia salio tenaπ, nilichokiona nikabaki nacheka tu ila nikajiambia "akufukuzae....." Saizi nipo zang halotel ila yule bwana bado nammc kwa kasi tuπππ
Nikajua Niko alone, na hawajibu MTUYaani sasa hivi 1GB inakata unaweza hisi simu inatobo MB zinamwagika
Hivi Kuna mawaziri ???Na waziri kakalisha tu naniliu zake anakula kiyoyozi
Kuna siku nilikuwa mjin YouTube ckuwa na mb nying sn ila zilikuwa 250 tu. Sasa natoka huko mjin youtube narud nyumbn kwetu homepage nikaletewa sms hapohapo eti data zimeisha. Nikasema ningejua ningebaki huko huko YouTube πππYaani sometime wanatuma msg eti bado mb 150, unaamua kuzimansata na kusign out insta kupunguza matumizi. The ushazima.data unaambia kifurushi kimeisha
Yupo sana tu anakula kamisheniHivi Kuna mawaziri ???
Ulichomoa? Ndio kosa, ungebaki humo humoKuna siku nilikuwa mjin YouTube ckuwa na mb nying sn ila zilikuwa 250 tu. Sasa natoka huko mjin youtube narud nyumbn kwetu homepage nikaletewa sms hapohapo eti data zimeisha. Nikasema ningejua ningebaki huko huko YouTube πππ
Utakua unaangalia X movies hahahahaha kidding. Serikali ya CCM kimyaaaaaaaOneni Voda walivyowezi. Yani nimeliza salio mara mbili ndan ya dak moja nikiwa nimefunga data na haya ndiyo majibu ya salio languππππView attachment 1990217
Unaangaliaje salio??Oneni Voda walivyowezi. Yani nimeliza salio mara mbili ndan ya dak moja nikiwa nimefunga data na haya ndiyo majibu ya salio languππππView attachment 1990217
Umefungaje data na mtandao unasoma 4gOneni Voda walivyowezi. Yani nimeliza salio mara mbili ndan ya dak moja nikiwa nimefunga data na haya ndiyo majibu ya salio languππππView attachment 1990217
Kwa kweli Halotel internet yao mi mwenyewe imenishinda kbsaaaaa. Iko bored sn. Niko vda na nitapmbn na iyo iyo vd.Mi nafata speed mimi halo naona bando zao za internet wanaweka na uji sikuhizi..[emoji28]
Lala kidogoKwa kweli Halotel internet yao mi mwenyewe imenishinda kbsaaaaa. Iko bored sn. Niko vda na nitapmbn na iyo iyo vd.
Yani kuingia uko na izo mb. Ndo umejiroga. Vd ni noma na wako speed kweli kweli kutuibia mb zetu. Tofauti na Halotel, mb zao zinaenda taratibu sn, sema mtandao ndo kimbembeNimejiunga Jana usiku wa saa 2
kifurushi cha wiki cha mb 550 kwa 1,000 .nikaingia jf kidogo kwa kuwa nilikua nimechoka nikazima DATA NIKALALA.naamka saa 9 usiku huu nasema acha niingie Instagram.
Ndani ya dakika 3.naambiwa data zimeisha.
Mbaya zaidi walivyo wezi wanakula kimya kimya
zamani walikuwa wanakwambia umetua data kiasi kadhaa umebakisha kiasi kadhaa.lakini Sasa hivi NI mwendo wa kimya kimya.baadae nitawapigia.
Ahahahahah usingz umeishaLala kidogo