EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Leo ni siku ya pili Internet yao inaandika "sign in to network" mara "network not available " toka jana wananambia suala lako linashughulikiwa ndan ya masaa 6.
katika masaa 48 je kuna masaa 6 mangapi?
Imagine unalipia 115k kwa mwezi alafu siku mbili huna internet huu si Wizi?
Nikipata mwanasheria Mzuri awa jamaa nawapeleka mahakamani
katika masaa 48 je kuna masaa 6 mangapi?
Imagine unalipia 115k kwa mwezi alafu siku mbili huna internet huu si Wizi?
Nikipata mwanasheria Mzuri awa jamaa nawapeleka mahakamani