Vodacom Premier League 21/02/2015-Live Score

Vodacom Premier League 21/02/2015-Live Score

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Ligi Kuu ya Vodacom inaendelea leo (Jumamosi) katika viwanja vitatu tofauti, Mgambo Shooting watakua wenyeji wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.


Ndanda FC ya Mtwara watawakaribisha Wagosi wa Kaya timu ya Coastal Union kutoka jijini Tanga katika mchezo utakaochezwa kwenye dimba la Ngwanda Sijaona.


Huku wakata miwa wa Kagera Sugar wanaoutimia Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga wakiwakaribisha Maafande wa Jeshi la Polisi kutoka mjini Morogoro timu ya Polisi.

Full Time Kagera 1 Polisi 0
matokeo yatakujia live hapa
 
Today Vodacom Premier League
Mgambo JKT Vs Mtibwa Sugar ( Mkwakwani)
Kagera Sugar Vs Polisi Morogoro ( Kambarage)
Ndanda FC Vs Coastal Union (Nangwanda Sijaona)

Chanzo: Tanzania Football Federation
 
Dk ya 10

Kagera Sugar 0 Polisi Moro 0
 
dk ya 30 Kambarage bila bila
 
Rashid Mandawa anaandika bao kwa Kagera dk ya 39
 
HT Kambarage, Kagera wanaongoza kwa bao moja
 
Polisi wanaelekea halijojo dk 6 zimeongezwa
 
Back
Top Bottom