Vodacom Premier League, Simba SC 3-3 Stand United Uwanja wa Taifa, Dar Es Salaam

Bora nshawatania sasa nasepa zangu
 
Na nilichojionea Watani zangu ni wengi sana humu na muda huu wanapita kimya kimya mpira ukiisha ndio wanakuja wale wenye mioyo ya plastick kuja kumwaga povu.

Ila walizidi sana tambo 4G 4G iko wapi sasa leo?
Ushindi lazima. Huo ni upepo tu unapita emmyta mkuu
 
Na nilichojionea Watani zangu ni wengi sana humu na muda huu wanapita kimya kimya mpira ukiisha ndio wanakuja wale wenye mioyo ya plastick kuja kumwaga povu.

Ila walizidi sana tambo 4G 4G iko wapi sasa leo?
4G iko pale pale tu.
 
46' MAVUGO anakwenda benchi na nafasi yake anachukua Luizio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…