Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea kuvurumishwa leo Oktoba 27, 2019 ambapo Singida United wanawakabili Mabingwa wa Nchini Simba SC Mnyama Mkali Mwituni, kwenye dimba la Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.
Simba SC, ambayo inaandika ushindi kwa asilimia 100% imejidhatiti kuhakikisha wanaendeleza na desturi hiyo ili kuweza kujikita zaidi kileleni. Je Singida United ataweza kuzuia moto wa Simba hii ya viwango vilivyothibitishwa na Shirikisho la soka Afrika CAF..Usikose ukaambiwa.
••Kulitaka Mwana..Kulipewa Mwana
Simba SC, ambayo inaandika ushindi kwa asilimia 100% imejidhatiti kuhakikisha wanaendeleza na desturi hiyo ili kuweza kujikita zaidi kileleni. Je Singida United ataweza kuzuia moto wa Simba hii ya viwango vilivyothibitishwa na Shirikisho la soka Afrika CAF..Usikose ukaambiwa.
••Kulitaka Mwana..Kulipewa Mwana