Vodacom Premier League 'VPL' Mwadui FC yaituliza Simba SC kwa kuichapa kwa goli 1 - 0

Piga haoooo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Kambarage

Simba SC wamefanya mabadiliko, ametoka Shiboub, Chama na nafasi zao zimechukuliwa na Miraji na Dilunga..!
 
Naomba uagize mirinda nyeusi nakujaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ntakuja kumalizia kicheko changu kesho alfajiri.

#Mungupokeaduazangulisikombolewehiligoli[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inawezekana Leo ikawa siku ya marejesho,kama mnavyojua mdhamini wetu kampuni ya kubashiri..ngoja tuone!
 
75' Miraji anajaribu kumtoka beki lakini anafanyiwa faulo..Ni faulo kuelekea Mwadui FC

Inapigwa na Ajibuuuu, 1,2,3 anapigaa nje..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…