Nakusalimia tu mimi jamaniNaona Wazee wa IST muko mawindoni Mtani 😀 😀 😀
Shunie upo dada yangu?Nakusalimia tu mimi jamani
Nipo kaka za miaka mingi jamaniShunie upo dada yangu?
Wouzeeeerrr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Yaliyojiri leo bungeni jijini Dodoma:
Wabunge ambao pia ni wanachama na mashabiki wa klabu ya Simba wakiongozwa na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai leo January 29, 2020 wamefungua tawi bungeni likiwa ni tawi la kwanza ndani ya bunge jijini Dodoma..NguvuMojaView attachment 1339712
Poa kabisa, ulipotelea wapi? Karibu tena jamviniNipo kaka za miaka mingi jamani
Nipo sema nimekuwa msomaji sana wa kimyakimya sijui ndio uzee tenaPoa kabisa, ulipotelea wapi? Karibu tena jamvini
Uzee si ugonjwa Shunie😀😀😀Nipo sema nimekuwa msomaji sana wa kimyakimya sijui ndio uzee tena