Mpaka ukirudi hautoshi kukaa kileleni tena Mtani.Bado sijarudi kutoka Misri nilikoenda kuishangilia Timu yangu ya Pyramids dhidi ya Yanga [emoji23] [emoji23][emoji23]
Hakika Mtani. Japo mlizidi sana kuchonga.Hahahaaa
Dah!! Mpira una matokeo katili sana mtani.
Hivi nyinyi na sisi mwaka huu.Hakika Mtani. Japo mlizidi sana kuchonga.
Ama kweli Chura FC hamtupendi, sare kwetu tu basi ndio mnashangilia mpaka sauti zinawakauka!Mpaka ukirudi hautoshi kukaa kileleni tena Mtani.
Mzima lakini Mtani?
Hizo dakika zilizoongezwa ni sababu ya yule Kipa wa Prison aliekua akipoteza muda, Mpira umechezeshwa kwa dakika 90.🤣🤣🤣 Wakaongezwa dkk 07 lakini wapi. 🤣🤣
Prison sio watu wazuri hata kidogo Mkuu.
Mpaka ukirudi hautoshi kukaa kileleni tena Mtani.
Mzima lakini Mtani?
Hahahaa. Leo bao moja tu linawatosha hao walima korosho Mtani.Hivi nyinyi na sisi mwaka huu.
Nani alikuwa anachonga sana.
Hahahaaa mmesahau mlikuwa mnapokeana kwa mbwebwe airport
Ngoja tusubiri ya korosho city uko Leo
Usimcheke mamba kabla hujavuka mto
Tunaachaje kukaukwa na koo sasa. 💃💃Ama kweli Chura FC hamtupendi, sare kwetu tu basi ndio mnashangilia mpaka sauti zinawakauka!
Msimamo utakufaa sana pale tutakapokuwa tumecheza mechi sawa Ses.Hebu kwanza nipe msimamo wa ligi nani yupo mkiani na nani yupo kileleni? Halafu ndio tutaongea baada ya hapo,
Hahahaa. Sawa Mkuu.Hizo dakika zilizoongezwa ni sababu ya yule Kipa wa Prison aliekua akipoteza muda, Mpira umechezeshwa kwa dakika 90.
Eti eee. Haya yangu macho.Ndani ya Ardhi hii inayoitwa Tanzania hakuna mwenye uthubutu wa kumuondosha Simba kileleni
Baadae usiinde palilliaHahahaa. Leo bao moja tu linawatosha hao walima korosho Mtani.
Kama nawaona Mtani mtakavyokuwa mnakodoa macho huku mkiombea tupoteze. 😀😀😀
Mi ntakuja alfajiri Mtani. 😀😀Baadae usiinde palillia
Tuwe wote hapa
Wewe Ibrahim Ajibu, ulibembeleza sana kurudi Simba SC.
Tukakuonea huruma na kukurudisha ingawa ulitusaliti.
Uliiacha Simba ikiwa kwenye dhiki na taabu tele.
Kama Yanga Ingekuwa na neema wewe usingerudi Simba SC.
Wewe ni mamluki kwa sababu gani.
Leo unakimbilia kupiga faulo mbili na unapazipaisha nje ya lango zote.
Kupaisha nje ya lango ni kumsaidia adui.
Hivi wewe hufanyi mazoezi ya kupiga faulo mazoezini ?
Kama hufanyi Ni kwanini unakimbilia kupiga faulo wakati wa mechi ?
Sema wewe Mamluki, inakichezeaje usichokifanyia mazoezi.
Rudi kwenye timu yako ya Yanga Kama Ngasa.
Ni kwanini humuachii faulo Erasto Nyoni au Muhamed Husein a.k.a. tshabalala ?
Wachezaji wenye mapenzi na Simba SC, kwenye njaa na shibe ?
Wacha upumbavu wako Ajibu. Wacha Unafiki.
Nenda kwenye Yanga Yako Ajibu, ukiendelea na huu upumbavu wako. sisi Simba tutakuchoka.
Na tumeisha kuchoka.
Aiseee mbona mapema hivi Mkuu?Wewe Ibrahim Ajibu, ulibembeleza sana kurudi Simba SC.
Tukakuonea huruma na kukurudisha ingawa ulitusaliti.
Uliiacha Simba ikiwa kwenye dhiki na taabu tele.
Kama Yanga Ingekuwa na neema wewe usingerudi Simba SC.
Wewe ni mamluki kwa sababu gani.
Leo unakimbilia kupiga faulo mbili na unapazipaisha nje ya lango zote.
Kupaisha nje ya lango ni kumsaidia adui.
Hivi wewe hufanyi mazoezi ya kupiga faulo mazoezini ?
Kama hufanyi Ni kwanini unakimbilia kupiga faulo wakati wa mechi ?
Sema wewe Mamluki, inakichezeaje usichokifanyia mazoezi.
Rudi kwenye timu yako ya Yanga Kama Ngasa.
Ni kwanini humuachii faulo Erasto Nyoni au Muhamed Husein a.k.a. tshabalala ?
Wachezaji wenye mapenzi na Simba SC, kwenye njaa na shibe ?
Wacha upumbavu wako Ajibu. Wacha Unafiki.
Nenda kwenye Yanga Yako Ajibu, ukiendelea na huu upumbavu wako. sisi Simba tutakuchoka.
Na tumeisha kuchoka.
utajibeba..............Bado sijarudi kutoka Misri nilikoenda kuishangilia Timu yangu ya Pyramids dhidi ya Yanga [emoji23] [emoji23][emoji23]
Kaniudhi Sana Jana, kila faulo za karibu na Goli anakimbilia kupiga halafu anapaisha zote.Aiseee mbona mapema hivi Mkuu?
Issue kubwa ni kuwa wachezaji Simba wapo ila kocha hakuna.ingawa chura wamevamia uzi wetu haitunyimi nafasi sisi Simba kujadili timu yetu, Ajibu ni mchezaji wa media sielewi ni kitu gani Simba walimchukuliakwa sababu Simba haina tatizo na wachezeshaji mara nyingi anapooza move wakati timu inashambulia anapooza mpira kwani lazima atulize na kuanza kufanya madoido kwa timu yenye nidhamu ya ulinzi kama Prison huwezi kuwafunga maana wanarudi haraka na kuziba nafasi, Shabalala bado anarudia makosa yake ya kupenda kushambulia na kuchelewa kurudi kukaba magoli mengi tuliyokoswa koswa yalitoke upande wake na pia anapopata mpira wakati mwingine analazimisha kupiga chenga wakati anajua uwezo wake wa kupiga chenga ni mdogo kocha awe makini anapofanya mabadiriko Dilunga hakutoa mchango wowote alipoingia kipindi cha pili pia sio lazima Kagere amalize siku zote na atengeneze mfumo wa kuwa na washambuliaji wawili kumtegemea mshambuliaji mmoja Kagere peke yake ndio kulituponza tulipotolewa na ile timu ya Msumbji
Mtani najua matokeo unayo. Yaani mdogo mdogo tu.Baadae usiinde palillia
Tuwe wote hapa
Hahaha nlikuwa nimejikausha.Mtani najua matokeo unayo. Yaani mdogo mdogo tu.