Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Mbona siku hizi hakuna ku upload magoli humu. Ama ndo data zinabana.
Wekeni magoli ya mnyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona siku hizi hakuna ku upload magoli humu. Ama ndo data zinabana.
Wekeni magoli ya mnyama
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀 Haya bana Mtani. Japo hamjafikia level za kutetemesha dunia. Hongera.Shadeeya ile timu tishio yenye kutetemesha dunia Simba sc ipo mawindoni leo kuendeleza ubabe.
Simba nguvu moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera Mtani.
Kwani unadhani wametaka kufungwa ni muda tu ulikuwa haujafika..Kwa Simba hii ya viwango vya CAF hakuna mfano wake!Hongera Mtani.
Mmestahili japo wamenikera sana KMC [emoji41]yaani wamebana wee mwishowe wanaachia. [emoji17]
Na ndio huwa hivo.Hongera Mtani.
Mmestahili japo wamenikera sana KMC 😎yaani wamebana wee mwishowe wanaachia. 😔
Jumatano simba vs azam fcTujuzane kituo kinachofuata
Wape salaaamm [emoji28][emoji28][emoji28]
Vyura [emoji196][emoji196][emoji196]
Sent from my Infinix X606B using Tapatalk
Hahahaaa!! Unavyonitambia Mtani haya nasubiri nione hicho kiwango chenu huko CAF.Kwani unadhani wametaka kufungwa ni muda tu ulikuwa haujafika..Kwa Simba hii ya viwango vya CAF hakuna mfano wake!
Yaaani tunacheza kibingwa kung.. kung..kung.. kama Bruce Lee, si umeonaaa!
Kwani manula alifanya upuuzi upi?Ule ukali tulioonyesha sisi mashabiki dhidi ya wachezaji wetu wazembe wazembe umesaidia sana. Unadhani hata Manula atafanya tena ule upuuzi wake?
Tuombe uzima panapo majaaliwa hapo ndio tutazijua mbivu na mbichi.Na ndio huwa hivo.
Mtani nakusubiri tarehe 8, safari hii hakuna sare ni either Mnyama afie pale, au chura azame kwenye tope. Ila mnyama huwa hafi mjini
Huko kwenye CAF utakuwa unawaonea bure Simba niliangalia game ya raja Casablanca vs Tp mazembe robo fainal pamoja na Zamalek vs Esperance namna walivyokuwa wanashindana ni next level mpira ulikuwa una kasi mda wote watu wanapishana utazani wanacheza tennis hawakupi hata nafasi ya kufanya mbwembwe na kwa aina ya beki za Simba wazito game inaisha half time.Hahahaaa!! Unavyonitambia Mtani haya nasubiri nione hicho kiwango chenu huko CAF.
Umefanya nimkumbuke ropo ropo wenu. 😅😅😅 Tambo zote hizo lakini akishikwa penyewe hakaiwii kulengwa lengwa na machozi. 😅😅
Sijaelewa sasa hivyo hizi sifa wanajipa za bure eee au?Huko kwenye CAF utakuwa unawaonea bure Simba niliangalia game ya raja Casablanca vs Tp mazembe robo fainal pamoja na Zamalek vs Esperance namna walivyokuwa wanashindana ni next level mpira ulikuwa una kasi mda wote watu wanapishana utazani wanacheza tennis hawakupi hata nafasi ya kufanya mbwembwe na kwa aina ya beki za Simba wazito game inaisha half time.
Acha kuteseka AAA🤣🤣🤣🤣🤣Hongera Mtani.
Mmestahili japo wamenikera sana KMC 😎yaani wamebana wee mwishowe wanaachia. 😔
🤣🤣🤣 muamala umetembea pale. 🤣🤣Acha kuteseka AAA🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa unadhani waliachia hivihivi? Pressure iliwazidia, mbinu ziliwashinda, ujuzi kutoka SSC ulikua wa dunia nyingine kabisa, ubora wa hali ya juu kutoka kwa LunyasiHongera Mtani.
Mmestahili japo wamenikera sana KMC 😎yaani wamebana wee mwishowe wanaachia. 😔
Wachaaa!!Sasa unadhani waliachia hivihivi? Pressure iliwazidia, mbinu ziliwashinda, ujuzi kutoka SSC ulikua wa dunia nyingine kabisa, ubora wa hali ya juu kutoka kwa Lunyasi
Kwa taarifa yako mziki huo ndio utakaoletewa wewe tarehe nane mwezi wa tatu mwaka twente twente, upo hapo Shadeeya? Kaeni mkao wa kuliwaWachaaa!!
Hizi game tuachage kuzitabiri Ses kwani huwa mwisho wa siku watu wanarudi na maumivu tu na wengine hadi kuzimia kwa kudhania game ya Yanga na Simba zinatabirika.Kwa taarifa yako mziki huo ndio utakaoletewa wewe tarehe nane mwezi wa tatu mwaka twente twente, upo hapo Shadeeya? Kaeni mkao wa kuliwa
Yaani soka letu lililotukuka wala hulioni😥🤣🤣🤣 muamala umetembea pale. 🤣🤣
Labda kama mtatembeza muamala mpate japo penati ya kuchomekea ili liwe angalau goli la kufutia machozi maana mbili au tatu zinawahusuHizi game tuachage kuzitabiri Ses kwani huwa mwisho wa siku watu wanarudi na maumivu tu na wengine hadi kuzimia kwa kudhania game ya Yanga na Simba zinatabirika.