GEBA2013
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 4,880
- 6,047
Vodacom mmekuwa wezi na matapeli, mnachukua pesa za watu kwenye M-pesa na muda wa maongezi kitapeli.
Mara nyingi nimevumilia inatosha. Hii laini kama sijachoma moto basi sitatumia tena.
Utaratibu wa kupiga simu huduma kwa wateja ili kuongea na wahudumu mmeondoa.
VODACOM MUWE NA HURUMA KUWAIBIA WATEJA WENU.
Mara nyingi nimevumilia inatosha. Hii laini kama sijachoma moto basi sitatumia tena.
Utaratibu wa kupiga simu huduma kwa wateja ili kuongea na wahudumu mmeondoa.
VODACOM MUWE NA HURUMA KUWAIBIA WATEJA WENU.